Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,873
- 29,048
Viwanda vingi vya chuma kuna ajira nenda pale mikocheni ndustrial area.....Tanzania ya Magufuli niya viwandaaa.....Hapa kazi tu
waliichagua tena, wacha watafute kazi, tuloshtuka mapema tuko tunatafuta wafanyakazi wao wanatafuta kazi ..Samahanini kwanza. Mliichagua CCM tena au mlijaribu upande wa pili?
Kama unatafuta wafanyakazi ndo vizuri sasa hao hapo waajiri sasawaliichagua tena, wacha watafute kazi, tuloshtuka mapema tuko tunatafuta wafanyakazi wao wanatafuta kazi ..