Nafasi za kazi UDSM

Nafasi za kazi UDSM

Status
Not open for further replies.
Hivi kwenye usaili (interview) za 'administrative officer ' huwa wanaulizaga maswali gani hasa jamani tusaidiane
Mimi nadhani hawa wameitwa kwenye interview ya kuandika inaitwa aptitude test. Hii kama sikosei huwa ni maswali ya common sense ambayo hata babu yako aliye kijini ambaye hajui kusoma wala kuandika, ukimtafsiria kwa kilugha chenu maana ya swali, anaweza akakusadia kulijibu kwa ufasaha zaidi kama yupo kwenye chumba cha mtihani, pengine kuzidi hata wewe mwenyewe
 
Kufuatia agizo la waziri Mkuu kusimamisha masomo Kwa Vyuo Vikuu na vya Kati Je interview Kama hizi za udsm zitafanyika?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom