Nafasi za kazi UDSM

Nafasi za kazi UDSM

Status
Not open for further replies.
Hivi kwenye usaili (interview) za 'administrative officer ' huwa wanaulizaga maswali gani hasa jamani tusaidiane
 
Ni aptitude test au written ya kawaida?
Hawajasema maana wamenipigia simu tu nakuniambia nijiandae na interview tarehe 19/march na wamesema watatoa majina kwenye website on Monday
By the way hebu Niambie tu Kama ni written wanaulizaga maswali gani na kama ni aptitude wanaulizaga maswali gani?
 
Hawajasema maana wamenipigia simu tu nakuniambia nijiandae na interview tarehe 19/march na wamesema watatoa majina kwenye website on Monday
By the way hebu Niambie tu Kama ni written wanaulizaga maswali gani na kama ni aptitude wanaulizaga maswali gani?
Kama ni written soma sana nondo za darasan pitia notes zako kadiri uwezavyo
Aptitude huwa ni maswali ya kupima IQ hvy hayaeleweki pitia google check aptitude test for administration officer utapata idea
 
Kama ni written soma sana nondo za darasan pitia notes zako kadiri uwezavyo
Aptitude huwa ni maswali ya kupima IQ hvy hayaeleweki pitia google check aptitude test for administration officer utapata idea
Sawa lakini tangazo la kazi limesema linahitaji taaluma zaidi ya moja eg HRM, public administration, sociology na Law! Nisome vitu gani sasa!
 
Sawa lakini tangazo la kazi limesema linahitaji taaluma zaidi ya moja eg HRM, public administration, sociology na Law! Nisome vitu gani sasa!
Soma mambo ya hr au public admin yapo sijajua wew ni muhitimu wa course gani?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom