Nafasi za Kazi TRA

Nafasi za Kazi TRA

kuna nafasi hao hao TRA walizitangaza tangu february,2020 lakini mpaka leo hawajaita...TRA wenge sana....cjui kuna shida gani huko................
 
ila kwa upande wa watu wa customs wenye degree watu ni wengi sababu wengine wameapply kazi mara mbili,yani kaapply kazi ya tax na customs kwa pamoja.
 
ila kwa upande wa watu wa customs wenye degree watu ni wengi sababu wengine wameapply kazi mara mbili,yani kaapply kazi ya tax na customs kwa pamoja.
Mkuu vp possible questions kwenye post ya tax management officer mana sielewi pakuanzia kama una chochote embu kiweke tafadhali
 
Mko wengi aisee jiandae vizuri
Kama niliwai kuongoza post zote tatu kwenye written Kanda ya ziwa alafu kwenye oral nikatoka kapa mm ninani mpaka ni wapangie. Muimu usiende ukaanza kubwatuka siasa ukiwa pale utumishi pale Kuna watu wakila haina usalama wataifa nakila kitu kuwa makini kijana.
 
Mkuu vp possible questions kwenye post ya tax management officer mana sielewi pakuanzia kama una chochote embu kiweke tafadhali
Soma sheria ya forodha ya jumuiya ya Africa mashariki.
 
Kama niliwai kuongoza post zote tatu kwenye written Kanda ya ziwa alafu kwenye oral nikatoka kapa mm ninani mpaka ni wapangie. Muimu usiende ukaanza kubwatuka siasa ukiwa pale utumishi pale Kuna watu wakila haina usalama wataifa nakila kitu kuwa makini kijana.
Mkuu dadavua vizuri naona umechanganya mambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom