Nafasi za kazi TPA

Nafasi za kazi TPA

no,nilichosomea kinahusiana na mambo ya bandarini,niambie ntafute wap
 
Jamani wadau tuambizane wale mlioko mikoani mara tu ajira za TPA zitakapotangazwa
Wasomi wa siku hizi bhana? Kwani nani kakwambia wa Mikoani ndio watakaotangaziwa kwanza? Kwani Mikoa ipi ina Bandari zaidi ya Mtwara, Tanga na DSM? Au unataka Bandari za huko Nkasi, Nyasa na Mwanza/Bukoba?
 
Jaribu pia kuzifuatilia hizi shipping lines. Emirates S/L. Diamond S/L(J Mall-Samora). African shipping(PPF tower). Inchcape S/L(maktaba sguare. CMA-CGM( J Mall) .
 
Kuna watu wajua TPA ni dsm kumbuka hii ni Authority incharge of all the ports ingawa kwa graduate likelyhood yankubaki DSM Tanga na Mtwara ni kubwa ingawa ukitupwa Kasanga usije lalamika ninkazi tuu
Kuwa mpole mwayabkitanuka tuu si unajua Mwakyembe keshapiga bit kule wale wenye ajira za mjomba atawasepesha na wale wenye mgomo baridi kwa Board mpya pia
Stay tuned
 
Pia fuatilia ICD Hizi TALL,MASS,FARION,DHAND0,MAERSK,SILVER,EVERGREEN, TRH.
 
Pia fuatilia ICD Hizi TALL,MASS,FARION,DHAND0,MAERSK,SILVER,EVERGREEN, TRH.

Mkuu DHANDO, MAERSK nazo ni ICDs? Mi nazijua AMI, DICD, PMM, TRH, UL HUSSUM, EAST COAST. Kumbe haya makitu yamepanuka namna hii? Watu wanajilia vyao kilaini.
 
unataka umsaidie au ukamkague???halafu wewe mzee wewe jiangalie

Hahahaha! Si anataka kazi kwa wazee wa bandari? Ni jukumu letu wazee kuwasaidia wajukuu. Mambo ya ukaguzi yanategemea vigezo na masharti.

BTW mbona sikusomi, umenipotezeaje?
 
Hahahaha! Si anataka kazi kwa wazee wa bandari? Ni jukumu letu wazee kuwasaidia wajukuu. Mambo ya ukaguzi yanategemea vigezo na masharti.

BTW mbona sikusomi, umenipotezeaje?

njoo pm bwana we unataka tukaguane hapa
 
Back
Top Bottom