BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,744
- 3,544
Kwasababu linaongozwa na muislam! Angekuwa mrosso hapo wala mcnge mwaga povu chafu!
Nssf ni kijiwe cha shura ya maimam.. Sio shirika kbs
Nssf ni kijiwe cha shura ya maimam.. Sio shirika kbs
nssf ni kijiwe cha shura ya maimam.. Sio shirika kbs
Basi kama ni hivyo ni faraja kuskia hivyo.
Kumbe shura ya maimamu wanaweza kufanya mambo makubwa hivi na taifa likanufaika ee??
Huko Baraza la maaskofu kama Pspf Ppf Lapf vipi wanasemaje.
Wasalimie.
Waambie tunakuja hadi huko kuwasaidia kazi.
Maana wao wanachojua ni kuiba tu na kupeleka pesa makanisani.
mdau punguza ukali wa maneno yako. Unajua humu JF kuna watu wako rahisi sana kusema yao hasa pale wanachotaka wao hakiwi. Mambo ya dini yamefuata nn humu? Tujifunze kuwa wavumilivu, maana kuna mengi sana yanatokea mbona wahusika hawasemi. Wanataka kila kitu kiwe vile watakavyo wao.......mtu kama ana sifa aombe kazi, kwani mmeambiwa NSSF ni World Vision
Hoja ya udini Nssf ilianzishwa na failures waliojikuta hawana output ndo wakazusha hivyo.
unaweza kuta watu walishaanza na kazi!!!!!
kaliharibu kivipi mkuu mbona ndo linaongaza kati ya mifuko yote ya kijamii?
Dau kaharibu hili shirika sana aisee
Nssf ni ya waislam tupuuuu......
zile za operation officers ziliishia wapi?mbona wapo kimya?