Nafasi za kazi magereza 2014 lini?

Nafasi za kazi magereza 2014 lini?

mikagati

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
320
Reaction score
71
Naomba kujuzwa kwa mwenye fununu, mana humu wengine baba zao ni watu wakubwa katika jeshi hilo hivyo huenda wakawa na nyepesi nyepesi
 
Watapita na huku mtaani msijali vijana. Kila mwaka, huo ndio utaratibu kuchukua mtaani na vikosini.
 
Tafuta kazini nyingine dogo ile kazi ni ngumu mno.
 
Back
Top Bottom