Nafasi za Kazi kutoka TRA

Nafasi za Kazi kutoka TRA

kuna jamaa zangu watatu walifanya interview zote mwaka juzi wakakosa, juzi ndo wamepigiwa wakaanze kazi!

Yup ndo kawaida yao atleast ukifanya ya oral una uhakika any day waweza kupigiwa.
 
Barua ya field tayari nimepeleka ila ndo kwa sis tusieshikwa mkono tunapata tabu kweli mara Barua hazijashuhulikiwa mara daaahhh tena akadai hapa kama hujashikwa mkon peleka barua yako sehem nyingine,, yan maneno kibao mpk unakata tamaa
 
Barua ya field tayari nimepeleka ila ndo kwa sis tusieshikwa mkono tunapata tabu kweli mara Barua hazijashuhulikiwa mara daaahhh tena akadai hapa kama hujashikwa mkon peleka barua yako sehem nyingine,, yan maneno kibao mpk unakata tamaa

Labda kwa dar ila mikoani TRA watu wanafanya field hawazingui na majibu yanatumwa chuo kuchukua barua za majibu.
 
hakika...kamwe watoza ushuru hawataiona pepo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom