Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Salaam wanaJF!
Serikali ya Jamhuri ya Kenya imesema kati ya j3 na j5 ya wiki ijayo,tangazo la nafasi za ajira ya jaji mkuu wa Kenya na majaji wa mahakama kuu zitatangazwa katika magazeti.
Mtazamo wangu:wenzetu wanatangaza nafasi muhimu kama hizo katika magazeti,ikimaanisha kua mtu yeyote (mkenya) mwenye vigezo anaweza kuomba;pia inamaanisha watakaofaulu zoezi la usaili(interview) hawatakua directly responsible kwa mkuu wa nchi(kama huku kwetu TZ!). Ama kweli hayo ni matunda ya katiba mpya yenye matakwa ya wananchi.
Serikali ya Jamhuri ya Kenya imesema kati ya j3 na j5 ya wiki ijayo,tangazo la nafasi za ajira ya jaji mkuu wa Kenya na majaji wa mahakama kuu zitatangazwa katika magazeti.
Mtazamo wangu:wenzetu wanatangaza nafasi muhimu kama hizo katika magazeti,ikimaanisha kua mtu yeyote (mkenya) mwenye vigezo anaweza kuomba;pia inamaanisha watakaofaulu zoezi la usaili(interview) hawatakua directly responsible kwa mkuu wa nchi(kama huku kwetu TZ!). Ama kweli hayo ni matunda ya katiba mpya yenye matakwa ya wananchi.