Jamii Opportunities
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 4,432
- 1,387
Kwa nn boss???Halmashauri ni chenga, Ila wenye sifa changamkieni hizo.
Maslahi yake ni madogo compared to TRA,BoT,Tanapa,ewura,latraKwa nn boss???
Sio mbaya ukipata pakujishikiza kwanza kwa wale jobless.Maslahi yake ni madogo compared to TRA,BoT,Tanapa,ewura,latra
Pamoja sana mkuu.Sio mbaya ukipata pakujishikiza kwanza kwa wale jobless.
Huwa Wanabandika majina ya walioitwa kwenye usahili kwenye mbao za matangazo za halmashaur na kwenye web zaoHivi ukiomba kazi kwenye usahili wanawapigia simu au inakuwaje ili kujua kama umeitwa kwenye usahili, au unatakiwa ukishatuma ndio uwe unafuatilia kwenye website yao kila Mara? Msaada tafadhali.
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app