Nafasi za Kazi Gardaworld Security Tanzania

Mkuu endelea kutupa update kama zikitoka nafasi za kazi kuna watu kibao bado wanahitaji huku mtaani
Intake mpya imeanza, wajulishe wenye uhitaji.
 
Intake mpya imeanza, wajulishe wenye uhitaji.
Mwisho Wa kuomba ni tarehe ngapi naomba unifahamishe mkuu maana anayeomba anatokea nje ya mwanza nifahamishe mkuu nione kama ana uwezekano wa kuwahi nimshtue
 
Mwisho Wa kuomba ni tarehe ngapi naomba unifahamishe mkuu maana anayeomba anatokea nje ya mwanza nifahamishe mkuu nione kama ana uwezekano wa kuwahi nimshtue
Tarehe 19, this month
 
Updates...


Intake mpya ni kuanzia tarehe 3 mwezi December mpaka tarehe 12 mwezi December, kwa wenye vigezo vya awali mnakaribishwa kwa usahili.
 
Updates...


Intake mpya ni kuanzia tarehe 3 mwezi December mpaka tarehe 12 mwezi December, kwa wenye vigezo vya awali mnakaribishwa kwa usahili.
Vipi sisi wa mikoani tunapereka barua wapi dar au mwanza?
 
Intake mpya inaendelea wenye vigezo karibuni, i know how its hard kuwa jobless that's why huwa najitahidi kushare hizi info pindi ninapozipata, Karibuni.
 
Sasa sie wa mikoan inakuaje na izo ofisi za dar zinapokea maombi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…