badoUhakiki umeisha sio?
nafasi moja candidates buku.. twende tukabet tu 😀Lipo kwenye tovuti la ewura, njoo tukapambane kwenye hilo nafasi 1
Ni mwendo wa kubet tunafasi moja candidates buku.. twende tukabet tu 😀






Hivi mkuu mtu mwenye ordinary diploma ya account anaweza akaomba hyo nafas ya assistant accountant na akapata? maan hizo kazi anazimudu kabisa na hapo wameweka entry qualification ni adv dip or degreeTatizo nafasi zenyewe utakuta tayari watoto au ndugu wa maboss wameshawekewa so mtu unaishia kichezea hela yako!" watu wanaroho mbaya sana.
Wewe omba mkuu....maadam kama kazi unaziweza omba....ila sema waswahili tunaangalia saana vyeti ambavyo wala havina uhusiano wa karibu na performanHivi mkuu mtu mwenye ordinary diploma ya account anaweza akaomba hyo nafas ya assistanperformancant na akapata? maan hizo kazi anazimudu kabisa na hapo wameweka entry qualification ni adv dip or degree
Haahaaaa kwa ulivo kata tamaa,bila shaka cheti hunaWewe omba mkuu....maadam kama kazi unaziweza omba....ila sema waswahili tunaangalia saana vyeti ambavyo wala havina uhusiano wa karibu na performan
Na huo ndio upuuzi wako....mimi nimejaribu kumu_encourage huyo jamaa...wewe unakuja na ujinga wa cheti sina.Haahaaaa kwa ulivo kata tamaa,bila shaka cheti huna
Hivi mkuu mtu mwenye ordinary diploma ya account anaweza akaomba hyo nafas ya assistant accountant na akapata? maan hizo kazi anazimudu kabisa na hapo wameweka entry qualification ni adv dip or degree
Ahsanteh mkuuWewe omba mkuu....maadam kama kazi unaziweza omba....ila sema waswahili tunaangalia saana vyeti ambavyo wala havina uhusiano wa karibu na performan
