Nafasi za kazi EWURA

Nafasi za kazi EWURA

5 years working experience. SMH
 
SAMAHANI WADAU,MAOMBI YANATAKIWA KUTUMWA KWA NJIA IPI????????
 
mkuu maombi unatuma kwa njia ipi?
Email au Kwa mkono pale JMOL katibu na station kuelekea posta mpya...kuna chumba imetengwa maalum kupokea bahasha make zitakua nyingi kupita kiasi
 
Email au Kwa mkono pale JMOL katibu na station kuelekea posta mpya...kuna chumba imetengwa maalum kupokea bahasha make zitakua nyingi kupita kiasi

mbona kuna jamaa ameniambia unatumia posta,alafu kama kwa mkono kwanini kwenye adress wameelekeza makao makuu?
 
katika pitapita zangu nimekutana na hili tangazo la nafasi za kazi kadhaa EWURA. mwisho wa kutuma maombi ni Novemba. Sasa sijui kama ni la kweli, kama kuna mtu anaweza kuliauthenticate itakua vema
6057389b157df7f9a06a5571604c9a58.jpg

873ef76c22ab4bf851ef508cfb86a8e3.jpg

mkuu maombi unatuma kwa njia ipi?
 
Email au Kwa mkono pale JMOL katibu na station kuelekea posta mpya...kuna chumba imetengwa maalum kupokea bahasha make zitakua nyingi kupita kiasi

mkuu naomba unielekeze vizuri mahali jengo lilipo na nikifika niulizie kwa jina lipi?
 
mkuu naomba unielekeze vizuri mahali jengo lilipo na nikifika niulizie kwa jina lipi?
mkuu kama upo mkoa unaweza tumia email au posta japo la email hr wengine ni wazembe sana. kama upo Dar nenda karibu na chuo cha TANESCO Steshini ulizia jengo la JMall, ukifika jmall ground floor kuna board inaonesha floor ambapo ofisi za EWURA zilipo...panda lift ukiiingia hiyo floor kulia kwako ndo ofisi japo mlango kufunguliwa ni technologia flan utumika.
 
Tuone kama kutakuwa na vimemo. Jaribuni jamani, coz sie kina pangu pakavu tulizoea sehemu zenye utamu kama hizi tulikuwa hata hatujishughulishi kuomba sasa sijui HAPA KAZI tu imerekebisha hilo.
 
bora kutuma kwa mkono/sanduku la barua/posta maana kwa e-mail tanzania wako nyuma sana

na huwa nashangaa wanaweka za nini wakati hawazipitii
 
Wadau kuna watu wana experience ya kutosha kwenye hizo Oil and gas positions, lakini hawana background ya hizo kozi tajwa , inakuwaje hapo?
 
mkuu kama upo mkoa unaweza tumia email au posta japo la email hr wengine ni wazembe sana. kama upo Dar nenda karibu na chuo cha TANESCO Steshini ulizia jengo la JMall, ukifika jmall ground floor kuna board inaonesha floor ambapo ofisi za EWURA zilipo...panda lift ukiiingia hiyo floor kulia kwako ndo ofisi japo mlango kufunguliwa ni technologia flan utumika.
Achen kupotosha watu, jmall ewura walishahama tangu mwaka jana, ewura wako jengo la LAPF, mue mnafata kilichoandikwa kwenye matangazo ya kazi.
 
Hivi upate wewe kazi, Jamaa zao washatosha kwenye hizo nafasi hata sijisumbui kutuma hizo nafasi zinawenyewe tayari.
 
nna mdau wangu kawatumia email, kapeleka kwa mkono na kwa posta katuma.. hataki mchezo mchezo asee 😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom