Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,465
- 104,999
Naomba kuwasilisha.
Haya sasa, kazi kwenu vijana.View attachment Boilermakers .pdf
Haya sasa, kazi kwenu vijana.View attachment Boilermakers .pdf
Nimejaribu mara kadhaa kuifungua inakataaNaona vijana mmekaza shingo, inamaana hizi nafasi za kazi hamzitaki ama...??
Asante mkuuJaribu hapo, then ukiona unavigezo nicheki nikusaidie

Mkuu wengine tangazo ndo tumeliona mda huu.Naona vijana mmekaza shingo, inamaana hizi nafasi za kazi hamzitaki ama...??
Ama mnanichukulia poa, sio...☹️☹️
Huyu nae wa wap anaweka no yke ya simu hapa...mkuu nenda huko inboxSimu yangu inagoma kufungua docment naomba maelezo na vgezo vlivyopo 0752248662
😀😀😀😀😀😀Huyu nae wa wap anaweka no yke ya simu hapa...mkuu nenda huko inbox
Jaribu hapo, then ukiona unavigezo nicheki nikusaidie
Sawa mkuuMkuu, ebu cheki na SUMA JKT naona ndio walipewa tenda ya kulinda. Na sijui utaratibu wao umekaaje