Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

Kimya

Mzee vp wale wazee wa connection? Au just jkt ita play part?
Wazee was connection wanatoboa bora connection iwe kubwa ya uhakika wa jkt wananafasi kubwa imagine kwa pepa ile rahic nani atafeli alaf mwenzako awe na gamba la jkt wee huna lazima uwekwe back up ila mwenye gamba atapewa kipaumbele wenye magamba ya jkt walikuwa wachache
 
Wazee was connection wanatoboa bora connection iwe kubwa ya uhakika wa jkt wananafasi kubwa imagine kwa pepa ile rahic nani atafeli alaf mwenzako awe na gamba la jkt wee huna lazima uwekwe back up ila mwenye gamba atapewa kipaumbele wenye magamba ya jkt walikuwa wachache
Mtihani sidhani kama ni mrahisi kiasi hicho unachoongea kwamba nani atafeli...waliotunga wako very logical hasa kwenye taasisi kama hizo

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Wazee was connection wanatoboa bora connection iwe kubwa ya uhakika wa jkt wananafasi kubwa imagine kwa pepa ile rahic nani atafeli alaf mwenzako awe na gamba la jkt wee huna lazima uwekwe back up ila mwenye gamba atapewa kipaumbele wenye magamba ya jkt walikuwa wachache
Uongo mkuu
 
Wazee was connection wanatoboa bora connection iwe kubwa ya uhakika wa jkt wananafasi kubwa imagine kwa pepa ile rahic nani atafeli alaf mwenzako awe na gamba la jkt wee huna lazima uwekwe back up ila mwenye gamba atapewa kipaumbele wenye magamba ya jkt walikuwa wachache
Jkt sio kigezo pekee mzee, kiwango Cha elimu jkt walitolewa makambini kuja kufanya interview ka wengine, pia investigation officer ni nadra kukuta wa bachelor wamepitia jkt, hafu hzo nafasi zinahitaji level Hadi ya master's kwa mambo mengine ya mle kwenye taasisi Sasa wachukue jkt na form zao tu waliokuwa wengi tena hawajafanya kazi popote.
Hizo nafasi factor's nyingi zitakuwa kwenye consideration
 
Anawadaganya au anajifariji kuja vitu vibahitaji skills na uzoefu, wa hata kuandika report Sasa jkt tu itaweza andika hyo kitu
Kuhusu swala la jkt hakuna wasomi mi nakataa hapo sister ukiachana na form six ,form four na chama la wana aka darasa la saba Siku hizi wasomi wapo wengi cariha kuna ma service man na girl Wana elimu kuna manesi, madaktari ,agronomist ,Forester,nk

Pia Kuna watu wana fani mbalimbali kuna mafundi ,madereva ,nk


Kipindi nipo mujibu kuna service man alikuwa amesoma agriculture general anatusimamia shambani



Ndio maana mkienda kufanya usaili wa jkt ile kujitegemea wenye elimu mbalimbali mnatengwa kuanzia bachelor hadi chama la wana


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Tuache kudanganyana tusubiri majibu yaje,hizo habar za jkt watapewa kipaumbele au sijui kina nan watapewa kipaumbele tusubiri majibu yatoke then Kama nafasi Mungu kakupangia kupata utapata tu ,itoshe kusema kila mtu na ridhk yake hapa dunian.Unaweza kuwa na gamba la four na driving certificate peke yake na ukatoboa,afu ww na jkt na sijui certificate sijui ya agriculture au afya ukapigwa chini vizuri tu.
 
Paper level ya primary nashaangaa wanaolalamika alafu wengi mlioitwa hamkuwa na gamba la jkt Takukuru mungu aendelee kuwa nanyi kwa watakao bahatika kwenda kozi
Mzeee hujui maana ya aptitude test maswal yke ndo yalivyo hivyo ila majibu yakija utashangaa mwenywe....
Siku zote mitihan miepes watu wengi ndo ufeli na sio kwamba hawajui sema wanakuwa na dharau Kama ww hivyo.
 
Tuache kudanganyana tusubiri majibu yaje,hizo habar za jkt watapewa kipaumbele au sijui kina nan watapewa kipaumbele tusubiri majibu yatoke then Kama nafasi Mungu kakupangia kupata utapata tu ,itoshe kusema kila mtu na ridhk yake hapa dunian.Unaweza kuwa na gamba la four na driving certificate peke yake na ukatoboa,afu ww na jkt na sijui certificate sijui ya agriculture au afya ukapigwa chini vizuri tu.
Kweli Mzee,Haya mambo ya Kazi na kila kitu ni Mungu tu,Mengine waachiwe wao PCCB,sisi Kwa nafasi yetu tulishamaliza.
 
Kuhusu swala la jkt hakuna wasomi mi nakataa hapo sister ukiachana na form six ,form four na chama la wana aka darasa la saba Siku hizi wasomi wapo wengi cariha kuna ma service man na girl Wana elimu kuna manesi, madaktari ,agronomist ,Forester,nk

Pia Kuna watu wana fani mbalimbali kuna mafundi ,madereva ,nk


Kipindi nipo mujibu kuna service man alikuwa amesoma agriculture general anatusimamia shambani



Ndio maana mkienda kufanya usaili wa jkt ile kujitegemea wenye elimu mbalimbali mnatengwa kuanzia bachelor hadi chama la wana


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Jkt sio kigezo pekee tu chakupata nafasi, juzi mbona walichaganyika na wengine kwenye usaili, huwezi mnyima mtu fursa kisa Hilo gamba moja.
Ndio wasomi wengi kwa maelfu je Wana uzoefu wa kufanya kazi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom