Ameitwa post gani au ni siriNdio washaanza ita baadhi ya post ila zingine bado naana kuna jamaa kanambia kaitwa inteview
OK sawa, post gani kaitwa?Ndio washaanza ita baadhi ya post ila zingine bado naana kuna jamaa kanambia kaitwa inteview
hatari sanaHivi ukiachana na ulinzi,huko jf hakunaga kazi inayohusu shift ya usiku tu.
Wengine wachache usiku hatupati usingizi kabisa
Niwe mkweli..hata wangekua wanalipa 3m sitataka ajira kamwe!...ila ningekuwa mod mm jaman mccm yyt yule nampa ban ya mwezi..au nakuwa nafuta comments zao..au naedit mbayaaa..arghhhh!
ww apply maa!
laki 1 na elfu 70mbona hawajaweka Dau kwa kila nafasi inayoombwa. Hiyo ingeshawishi watu kuamua vizuri kufuatilia kazi hizo. Ushauri waweke na Dau.
usalama wa nn?Sisi Usalama tunaruhusiwa kuomba?
wewe lugha tatizo na haiba yako haujanishawishi.Mkuu Maxence Melo ninaomba nafasi moja wapo kati ya hizi.
Sema HakyamunguWameshaitwa, na nafasi zimeshajaa tayari,
Kivipi mkuuJAMII FORUM WANAITANA TU DUUH...
Kwani wameshatoa waliochaguliwaAjira zimekaa kibaguz sana kwa sisi tusiojua kizungu
Kwani TISS sio watu?Maxence Melo kuwa careful na hao wapya pia,usije pandikiza majitu ya TISS
Kwani TISS sio watu?