safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,182
- 15,866
Msemo huu mnautumia vibaya sana.hata ajira ndani ndani nyie mnasema ajira nje njeAjira hizo nje nje!
Msemo huu mnautumia vibaya sana.hata ajira ndani ndani nyie mnasema ajira nje njeAjira hizo nje nje!
Watakaoomba hizi kazi watatakiwa kufanyia ofisini, au watafanya kutokea kokote walipo? Yaani kwa mfano mtu alioko Norway anaweza kuomba?
Nashauri. Kwanza Muajiriwa lazima awe na ID yenye Minimum 2 years, na Pili Post zake zijadiliqe ili kupima utashi wa mtu
Mtu mwingine anaweza kufanya kazi kwa sababu ya hobby tu. Kwa mfano kuna watu wako marekani ila ni wanazi wa jf. Haina maana kwamba huko hakuna social mediasMkuu inamana huko kwa mabeberu hakuna kazi mpaka ukomae na hizi kazi za huku mavumbini?
Sio mimi mkuu! Nimemuuliza kwa manufaa ya wengi. Yaani msingi wa swali langu mhusika ni lazima akae ofisini mahali?Vipi umeshauchoka Mshahara wa Ki Norway na sasa unautamani Mshahara wa Ki Tanzania Mkuu?
Nakukubali Dada ake!Niwe mkweli..hata wangekua wanalipa 3m sitataka ajira kamwe!...ila ningekuwa mod mm jaman mccm yyt yule nampa ban ya mwezi..au nakuwa nafuta comments zao..au naedit mbayaaa..arghhhh!
ww apply maa!
Kuna boss mmoja alikuwa mtu akilalamika kuhusu maslahi ya kazi anampeleka ofisini na kumuonyesha rundo la bahasha za watu waliotuma CVNakukubali Dada ake!
Mimi pia sikuhizi nafikiria zaidi kutengeneza ajira na fursa nyingi kwa vijana wenzangu.
Million 3 akulipe nani sasa hivi Dada angu;
Kampuni na taasisi nyingi wanalipana hela za kula tu. Wengi wanatumia wingi wa wasomi kama fimbo yao, ukikataa wewe wenzako wanakuja wanachukua icho ulicho kataa
Ila shukrani nyingi kwa jamii forum; naamini safari za baadhi katika kufunguliwa dunia zitaanzia hapa.
Aisee; lazima ukubali tu maana ukikataa mwenzako mwenye elimu sawa anakuja anachukua icho ambacho wewe umekikataa.Kuna boss mmoja alikuwa mtu akilalamika kuhusu maslahi ya kazi anampeleka ofisini na kumuonyesha rundo la bahasha za watu waliotuma CV
Yaani acha kabisaAisee; lazima ukubali tu maana ukikataa mwenzako mwenye elimu sawa anakuja anachukua icho ambacho wewe umekikataa.
Waajiri wengi sasa hivi mishahara yao wanayatoa ni midogo sana; ukijumlisha na kodi za maghufuli unaona bora utafute njia mbadala za kufanya haya maisha ya songe.
Yana watu wana shahada zao lakini sasa mishahara ni mwendo wa 300k 350k kwa mwezi
Kwahyo unataka jitolea sio?Mtu mwingine anaweza kufanya kazi kwa sababu ya hobby tu. Kwa mfano kuna watu wako marekani ila ni wanazi wa jf. Haina maana kwamba huko hakuna social medias
Lugha yako haijitoshelezi. Usitake kulazimisha mambo.Ni bora haya matangazo mkayweka kwenye forums za UK ama USA, kisha mkaajiri wazungu.
Lakini ni upotofu, matangazo yote kutumia lugha ya kigeni, wakati wanaosoma hayo matangazo si wote wanaojua hiyo lugha.
Vipi kama kuna mtu anandugu yake, ila yeye haijui lugha iliotumika, huoni atashindwa kumpa taarifa ya tangazo la kazi?
Kibaya zaidi, mnaandika kinge, usaili mnatumia kiswahili, ofisini wanabonga kiswahili.
Mwenye sifa za kuajiriwa akisoma kiswahili, hawezi shindwa fanya kazi.
Anataka kujitolea kama Zahera anavyojitolea pale yanga 😂 😂 😂Kwahyo unataka jitolea sio?
Weee mruguru akili zako za kimbumbuAnataka kujitolea kama Zahera anavyojitolea pale yanga
Hivi unaweza kuomba nafasi zaidi ya moja?
Degree yake ya IT itakua aliisoma kwa kiswahili.Lugha yako haijitoshelezi. Usitake kulazimisha mambo.
Hahaaah mkuu zahera nae si nasikia anaishigi ulaya....case yake inataka kufanana na huyu jamaa 😂 😂 😂Weee mruguru akili zako za kimbumbu