Nafasi za kazi 10

Nafasi za kazi 10

MarkD

Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
73
Reaction score
43
Mimi ni mtunzi wa kitabu cha siri ya ukombozi ya mjasiriamali kilichoko madukani sasa, nahitaji watu 10 ikiwa jinsia ya kike 5 na kiume 5 kwa ajiri ya kusimamia usambazaji kitabu hicho jijini dar es salaam.

awe mtu unayependa kujituma, mbunifu na mwenye uwezo wa kushawishi (sales skills).

kazi hii inaweza kudumu kwa muda wa mwezi mmoja.

tafadhali wasiliana sasa na mr. kwanama 0712 066 064 au 0753 12 54 74 e-mail: kwanamas@yahoo.com
 
Haya watakuja mimi niko bize sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom