Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,649
- 5,074
Najaribu kuwaza faida na hasara za kuwa na rais anayetoka katika kabila lenye idadi ndogo ya watu na yule anayetoka ktk idadi kubwa.
Tukianzia na historia ya nchi yetu na mahali pengine popote pale duniani. Ni kwa namna gani utendaji unaweza kuathirika hasa kuyafikia matarajio ya wananchi husika.
Angalizo; haina uhusiano wowote ule na kuleta ukabila kwa jamii yetu.
Tukianzia na historia ya nchi yetu na mahali pengine popote pale duniani. Ni kwa namna gani utendaji unaweza kuathirika hasa kuyafikia matarajio ya wananchi husika.
Angalizo; haina uhusiano wowote ule na kuleta ukabila kwa jamii yetu.