NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,067
- 299
NAFASI ZA KUJIUNGA NA CHUO
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzanian Training Centre for International Health
(TTCIH) anawatangazia nafasi za kujiunga na chuo mwaka wa masomo 2018/2019.
TTCIH ni Taasisiya mafunzo ya Afya iliyosajiliwa na NACTE kwa usajili wa kudumu wa namba HAS/003. Chuo kinatambuliwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wazee na watoto.
Chuo kipo Ifakara mjini, Mkoani Morogoro.
Chuo kinatoa kozi zifuatazo
Sifa za mwombaji kwa kozi stashahada ya utabibu (miaka mitatu)awe na:
Fomu ya maombi ya kujiunga itapatikana katika tovuti ya chuo: www.ttcih.org au Application Form for 2018/19 Academic Year
Kwa msaada na maelekezo zaidi piga simu namba 0713 497 657 au barua pepe info@ttcih.ac.tz
KARIBU TTCIH IFAKARA KWA MAFUNZO YA UHAKIKA YENYE HADHI YA KIMATAIFA.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzanian Training Centre for International Health
(TTCIH) anawatangazia nafasi za kujiunga na chuo mwaka wa masomo 2018/2019.
TTCIH ni Taasisiya mafunzo ya Afya iliyosajiliwa na NACTE kwa usajili wa kudumu wa namba HAS/003. Chuo kinatambuliwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wazee na watoto.
Chuo kipo Ifakara mjini, Mkoani Morogoro.
Chuo kinatoa kozi zifuatazo
- Stashahada ya utabibu (Diploma in Clinical Medicine) – miaka mitatu
- Stashahada ya utabibu ya mwaka mmoja (Clinical Assistant to Clinical Officer).
- Diploma in Health Information Science – miaka mitatu
- Maabara ya kisasa
- Chuo kina madarasa mazuri na kumbi za mikutano na mafunzo
- Maktaba ya kisasa iliyosheheni vitabu vya kiada na ziada kwa masomo yote
- Chumba cha Kompyuta chenye Kompyuta za kisasa zilizounganishwa na mtandao kwa ajili ya kujisomea
- Maabara ya kisasa kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo (Clinical Skills Laboratory)
- Hospitali ya rufaa kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo
- Viwanja vya michezo mbalimbali.
- Chuo kina madaktari bingwa waliobobea katika fani zote zinazofundishwa (madaktari bingwa wa watoto, wanawake, macho, upasuaji, magonjwa ya ndani, huduma ya magonjwa ya dharula na fani nyingine).
- Chuo kinafikika kirahisi kwa barabara, ndege na gari moshi (train).
Sifa za mwombaji kwa kozi stashahada ya utabibu (miaka mitatu)awe na:
- Amehitimu kidato cha nne kwa ufualu wa angalau D ya Biology, Chemistry na Physics ufaulu wa Hisabati na Kiingereza itakuwa sifa ya nyongeza
- Awe amehitimu astashahada ya utabibu NTA level 5
- Amehitimu kidato cha nne kwa ufaulu wa angalau D ya Biology, Chemistry au Physics
- Amehitimu kidato cha nne kwa ufaulu wa angalau D ya Biology, Kiingereza, Hisabati na somo lingine lolote isipokuwa masomo ya dini.
Fomu ya maombi ya kujiunga itapatikana katika tovuti ya chuo: www.ttcih.org au Application Form for 2018/19 Academic Year
Kwa msaada na maelekezo zaidi piga simu namba 0713 497 657 au barua pepe info@ttcih.ac.tz
KARIBU TTCIH IFAKARA KWA MAFUNZO YA UHAKIKA YENYE HADHI YA KIMATAIFA.