CABANA
JF-Expert Member
- Feb 6, 2013
- 422
- 557
Kuna nafasi moja ya kazi maeneo ya kawe...anahitajika mlinzi umri miaka 25 na kuendelea,,, awe na uzoefu walau miaka miwili kwenye ulinzi na asiwe anatumia kilevi chochote. Nyumba yenyewe ina geti na nyumba tatu ndani...mlinzi ana chumba chake ,choo na bafu maji yapo. Atakaye kaa hapo hapo anapewa kipaumbele zaidi na mshahara mzuri.
Elimu; kusoma na kuandika
kazi; kufungua geti, kufagia asabuhi uwanja na kulinda usiku
vigezo; awe tayari kuonyesha anapoishi wakiwemo ndugu zake na barua ya mwenyekiti wa serikali wa mtaa, kitambulisho cha taifa [NIDA] ni lazima. si lazima awe kwenye kampuni za ulinzi, yeyote yule mwanaumme mwenye nguvu anaweza kufanya kazi hii.
NJOO PM nikupe maelekezo,,, kwa ambaye yuko serious tu!!!!
Elimu; kusoma na kuandika
kazi; kufungua geti, kufagia asabuhi uwanja na kulinda usiku
vigezo; awe tayari kuonyesha anapoishi wakiwemo ndugu zake na barua ya mwenyekiti wa serikali wa mtaa, kitambulisho cha taifa [NIDA] ni lazima. si lazima awe kwenye kampuni za ulinzi, yeyote yule mwanaumme mwenye nguvu anaweza kufanya kazi hii.
NJOO PM nikupe maelekezo,,, kwa ambaye yuko serious tu!!!!
