Nafasi ya kazi

Nafasi ya kazi

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,265
Reaction score
4,452
Kijana wa kitanzania mwenye ujuzi ufuatao:
  • Lugha:Ana uwezo kuzungumza na kuandika kiingereza.Kuandika mipango ya biashara,kuaanda nyaraka tenda,kuandaa mikataba,kutafsiri kiingereza na kiswahili,Kufundisha kiswahili na kiingereza,Kuandika vitabu vya kufundisha kishwahili na kiingereza,kuandaa mitaala ya kufundisha kozi mbalimbali.
  • Kompyuta:Ana uwezo wa kutumia Windows,Mac and Linux.Ana uwezo wa kutumia Microsoft Office.Ana uwezo wa kutumia Program za accounting,Ana uwezo wa kutengeneza websites,html,php etc.Ana uwezo kuaanda web content kwa kiingereza na kiswahili.Ana ujuzi wa kutumia Cpanel na kuset up mail clients n.k.Ana uwezo wa kurepair Computer hardware na Software,Ana uwezo kufanya networking,ana uwezo wa kufunga CCTV camera.Ana uwezo wa kufundisha hivyo vyote
  • Management:Ana uwezo wa kuendesha ofisi za aina mbalimbali kama vile,Chuo Cha Veta,Webhosting Company,Tour and Travel Agent,na huduma nyinginezo
  • Skills nyingine ni kama vile:ufundi wa magari,udereva,welding na Carpentry na masonry.
Kijana huyu wa kitanzania anahitaji ajira katika mikoa ya Arusha,Moshi au Dar es salaam.Mshahara ni maelewano

Ukimuhitaji Ni PM
 
Why usingeweka hata email yako???

Nasema hivi sababu pengine kuna wat nje ya jf watakupataje mfano me naikopi naipost kwenye group huko mtu mwenye vigezo yupo ila atakupataje?
 
Nikajua unatoa ajira kumbe we ndo unataka ajira
 
Kijana wa kitanzania mwenye ujuzi ufuatao:
  • Lugha:Ana uwezo kuzungumza na kuandika kiingereza.Kuandika mipango ya biashara,kuaanda nyaraka tenda,kuandaa mikataba,kutafsiri kiingereza na kiswahili,Kufundisha kiswahili na kiingereza,Kuandika vitabu vya kufundisha kishwahili na kiingereza,kuandaa mitaala ya kufundisha kozi mbalimbali.
  • Kompyuta:Ana uwezo wa kutumia Windows,Mac and Linux.Ana uwezo wa kutumia Microsoft Office.Ana uwezo wa kutumia Program za accounting,Ana uwezo wa kutengeneza websites,html,php etc.Ana uwezo kuaanda web content kwa kiingereza na kiswahili.Ana ujuzi wa kutumia Cpanel na kuset up mail clients n.k.Ana uwezo wa kurepair Computer hardware na Software,Ana uwezo kufanya networking,ana uwezo wa kufunga CCTV camera.Ana uwezo wa kufundisha hivyo vyote
  • Management:Ana uwezo wa kuendesha ofisi za aina mbalimbali kama vile,Chuo Cha Veta,Webhosting Company,Tour and Travel Agent,na huduma nyinginezo
  • Skills nyingine ni kama vile:ufundi wa magari,udereva,welding na Carpentry na masonry.
Kijana huyu wa kitanzania anahitaji ajira katika mikoa ya Arusha,Moshi au Dar es salaam.Mshahara ni maelewano

Ukimuhitaji Ni PM
Stak kusema ubongo wako una hitilafu
 
Kijana wa kitanzania mwenye ujuzi ufuatao:
  • Lugha:Ana uwezo kuzungumza na kuandika kiingereza.Kuandika mipango ya biashara,kuaanda nyaraka tenda,kuandaa mikataba,kutafsiri kiingereza na kiswahili,Kufundisha kiswahili na kiingereza,Kuandika vitabu vya kufundisha kishwahili na kiingereza,kuandaa mitaala ya kufundisha kozi mbalimbali.
  • Kompyuta:Ana uwezo wa kutumia Windows,Mac and Linux.Ana uwezo wa kutumia Microsoft Office.Ana uwezo wa kutumia Program za accounting,Ana uwezo wa kutengeneza websites,html,php etc.Ana uwezo kuaanda web content kwa kiingereza na kiswahili.Ana ujuzi wa kutumia Cpanel na kuset up mail clients n.k.Ana uwezo wa kurepair Computer hardware na Software,Ana uwezo kufanya networking,ana uwezo wa kufunga CCTV camera.Ana uwezo wa kufundisha hivyo vyote
  • Management:Ana uwezo wa kuendesha ofisi za aina mbalimbali kama vile,Chuo Cha Veta,Webhosting Company,Tour and Travel Agent,na huduma nyinginezo
  • Skills nyingine ni kama vile:ufundi wa magari,udereva,welding na Carpentry na masonry.
Kijana huyu wa kitanzania anahitaji ajira katika mikoa ya Arusha,Moshi au Dar es salaam.Mshahara ni maelewano

Ukimuhitaji Ni PM
Acha uongo braza, huwezi kuwa unafanya vizur kwenye nyanja zote hizo, labda kama una sua sua, sasa kama unaweza kufanya yote hayo c ufungue ofis yako itakulipa tu mkuu
 
Acha uongo braza, huwezi kuwa unafanya vizur kwenye nyanja zote hizo, labda kama una sua sua, sasa kama unaweza kufanya yote hayo c ufungue ofis yako itakulipa tu mkuu
Unachosema ni kweli ila anahitaji kuajiriwa tena kwa mshahara wa kawaida sana.Kama unahitaji mtu mwenye skills hizi na ukamtumia vizuri basi yupo tayari
 
Unachosema ni kweli ila anahitaji kuajiriwa tena kwa mshahara wa kawaida sana.Kama unahitaji mtu mwenye skills hizi na ukamtumia vizuri basi yupo tayari
Kumbe umemuandikia mtu, basi umeshaingizwa choo cha kike
 
Kaxi zote hizi unataka ufanye wewe, mmh! Nilijua unatangaza nafasi ya kazi kwa watu wenye fani hizo, kumbe huyu ni MTU mmoja, ana mikono sita au? Hii ni kazi ya teem work sasa!!!!
 
Aisee sijawahi kuona tangazo lenye mapungufu kama hili? kama we ni HR utakuwa ulisomea chini ya mti maana job description ni kichekesho,huyo huyo avae ovaroli akatengeneze gari,huyo huyo akae ofisini.....aaaaah mkuu labda kama unadanganya wananchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom