Security Group
Member
- Oct 3, 2013
- 10
- 8
Kampuni ya ulinzi ya Security Group inatangaza nafasi za kazi ya ulinzi kwa wenye sifa zifuatazo;
1. Lazima awe raia wa Tanzania
2. Umri kuanzia miaka 21 hadi 35
3. Elimu kidato cha nne ambaye amepitia JKT (kwa aliyepitia JKT peke yake kama anazungumza kiingereza atapewa kipaumbele.
4. Awe anazungumza Lugha ya Kiingereza kwa ufasaha
5. Urefu kuanzia Futi sita na kuendelea
Mahali pa kufanyia kazi ni Zanzibar, lakini mafunzo (training) itafanyikia Dar Es Salaam, hivyo waombaji wanaotoka nje ya mkoa wa Dar Es Salaam wanatakiwa wawe na wenyeji au mahali pa kukaa Dar Es Salaam kwa kipindi cha training (mafunzo).
Barua za maombi zitumwe kwa;
MENEJA MWAJIRI
SECURITY GROUP (T) LTD
P.O.BOX 9390,
DAR ES SALAAM
Au kwa maelezo zaidi piga simu hii; +255 784 781 525
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30/11/2013
1. Lazima awe raia wa Tanzania
2. Umri kuanzia miaka 21 hadi 35
3. Elimu kidato cha nne ambaye amepitia JKT (kwa aliyepitia JKT peke yake kama anazungumza kiingereza atapewa kipaumbele.
4. Awe anazungumza Lugha ya Kiingereza kwa ufasaha
5. Urefu kuanzia Futi sita na kuendelea
Mahali pa kufanyia kazi ni Zanzibar, lakini mafunzo (training) itafanyikia Dar Es Salaam, hivyo waombaji wanaotoka nje ya mkoa wa Dar Es Salaam wanatakiwa wawe na wenyeji au mahali pa kukaa Dar Es Salaam kwa kipindi cha training (mafunzo).
Barua za maombi zitumwe kwa;
MENEJA MWAJIRI
SECURITY GROUP (T) LTD
P.O.BOX 9390,
DAR ES SALAAM
Au kwa maelezo zaidi piga simu hii; +255 784 781 525
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30/11/2013