Nafasi ya kazi ya Uhifadhi wa Kumbukumbu za Bidhaa

baruthyjr

Member
May 25, 2023
7
7
UPSCALE SHOP MIKOCHENI iliyopo DAR ES SALAAM inawatangazia nafasi ya kazi UHIFADHI WA KUMBUKUMBU ZA BIDHAA (DATA ENTRY RECORDS).

SIFA YA MWOMBAJI
* Awe amehitimu elimu ngazi ya DIPLOMA/DEGREE katika chuo kinachotambulika na NACTE ama taasisi rasmi inayotambulika.

* Awe na ufahamu mzuri wa matumizi ya Computer na Programs (INFORMATION TECHNOLOGY/I.T)

* Awe na ujuzi angalau wa miaka miwili katika kazi husika.

* Jinsia ya kiume umri kuanzia miaka 20 hadi 40.

MAWASILIANO PIGA NAMBA

+255623533676
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom