UPSCALE SHOP MIKOCHENI iliyopo DAR ES SALAAM inawatangazia nafasi ya kazi UHIFADHI WA KUMBUKUMBU ZA BIDHAA (DATA ENTRY RECORDS).
SIFA YA MWOMBAJI
* Awe amehitimu elimu ngazi ya DIPLOMA/DEGREE katika chuo kinachotambulika na NACTE ama taasisi rasmi inayotambulika.
* Awe na ufahamu mzuri wa matumizi ya Computer na Programs (INFORMATION TECHNOLOGY/I.T)
* Awe na ujuzi angalau wa miaka miwili katika kazi husika.
* Jinsia ya kiume umri kuanzia miaka 20 hadi 40.
MAWASILIANO PIGA NAMBA
+255623533676
SIFA YA MWOMBAJI
* Awe amehitimu elimu ngazi ya DIPLOMA/DEGREE katika chuo kinachotambulika na NACTE ama taasisi rasmi inayotambulika.
* Awe na ufahamu mzuri wa matumizi ya Computer na Programs (INFORMATION TECHNOLOGY/I.T)
* Awe na ujuzi angalau wa miaka miwili katika kazi husika.
* Jinsia ya kiume umri kuanzia miaka 20 hadi 40.
MAWASILIANO PIGA NAMBA
+255623533676