miss mkweli
Member
- Oct 30, 2010
- 14
- 0
Ooh jaman umri huo. Mimi ninaye m2 ambaye anatafuta kaz lakin ila umri mmh!
Nahitaji msichana wa kazi za ndani awe
mchapakazi
umri usizidi 21
awe mkristo
atakuwa anakaa kwangu
Mshahara maelewano
atakaempata awasiliane nami kwa namba 0713 775173
Nahitaji msichana wa kazi za ndani awe
mchapakazi
umri usizidi 21
awe mkristo
atakuwa anakaa kwangu
Mshahara maelewano
atakaempata awasiliane nami kwa namba 0713 775173
Jamani hata mimi ninatafuta awe mrefu wastani, mweupe, miaka 18- 25, mcheshi, mwenye huruma na asiye mchoyo,mwenye upendo na asiye na kiburi wala dharau na awe anatokea mkoani(kijijini), mshahara 35,000, matibabu, sabuni, nguo za sikukuu juu yangu, ruksa kwenda beach mara moja kila mwisho wa mwezi, ruksa kuangalia tv jioni akishamaliza kazi zake. Sijaoa.
Jamani hata mimi ninatafuta awe mrefu wastani, mweupe, miaka 18- 25, mcheshi, mwenye huruma na asiye mchoyo,mwenye upendo na asiye na kiburi wala dharau na awe anatokea mkoani(kijijini), mshahara 35,000, matibabu, sabuni, nguo za sikukuu juu yangu, ruksa kwenda beach mara moja kila mwisho wa mwezi, ruksa kuangalia tv jioni akishamaliza kazi zake. Sijaoa.
Nahisi hukusoma vizuri SUBJECT naona kama UNATAFUTA MKE na sio MFANYAKAZI.:mmph:
Jamani hata mimi ninatafuta awe mrefu wastani, mweupe, miaka 18- 25, mcheshi, mwenye huruma na asiye mchoyo,mwenye upendo na asiye na kiburi wala dharau na awe anatokea mkoani(kijijini), mshahara 35,000, matibabu, sabuni, nguo za sikukuu juu yangu, ruksa kwenda beach mara moja kila mwisho wa mwezi, ruksa kuangalia tv jioni akishamaliza kazi zake. Sijaoa.
Jamani natafuta kazi kama hizo naweza tuma cv yangu!!!
Nahitaji msichana wa kazi za ndani awe
mchapakazi
umri usizidi 21
awe mkristo
atakuwa anakaa kwangu
Mshahara maelewano
atakaempata awasiliane nami kwa namba 0713 775173
unataka alievunja ungo??ama bado niingie kisarawe fasta.??ans
important
Kwani wake hawafanyi kazi?Nahisi hukusoma vizuri SUBJECT naona kama UNATAFUTA MKE na sio MFANYAKAZI.:mmph:
Kwani wake hawafanyi kazi?