Anatakiwa mwalimu wa Biology/Chemistry na Geography(CBG).
- Ataajiriwa kama part time teacher
- Awe anakaa Kigamboni (Kuepuka ghrama za usafiri). Ajira iko Kigamboni.
- Awe na shahada ya chuo kikuu au Diploma ya uwalimu.
- Mwisho wa kupokea maombi ni 20/12/2017
- Tuma CV na Vyeti vyako Kupitia email hii: vikiseko23@gmail.com