Kunachaka moja linahitaji accountant, sifa awe anafahamu IT kidogo kama kuinstall window, antivirus update nk.
Anatakiwa awe mwanza na kituo cha kazi ni mwana so alie tayari ani pm. mshara ni mzuri tu.
Unaweza jaribu. Ila job title ni accountant kama upo fit poa wewe ni pm mm ntakupeleka kwa wahusika ushindwe mwenyewe ila mshahara poa sana.