Nafasi ya CHADEMA Bungeni

Tanu Youthleague na Wana JF,
Mbona Mbowe ameshalitolea ufafanuzi kuhusu Gari la Kambi ya Upinzani (KUB).
Kila Cheo kuna Stahiki zake, na yeye sio aliyepanga, hizi zinapangwa na chombo husika,
akaenda mbali kusema kama Kiongozi wa Upinzani anatakiwa awe na Gari, Nyumba, Ulinzi na mambo mengine.
Kuhusu Upinzani Bungeni, Jamaa wamejiita idi, kwa Udogo wao wa wawabunge na michango yao Bungeni si haba.
My Take: Tuache kuchanganya mambo
Nawakilisha



Wanabodi kwa mara ya kwanza tangu CDM ianze kuwa na wabunge imekuwa ikishiriki vizuri katika vikao vya bunge na hasa uchambuzi wa bajeti. lakini mwaka huu imekuwa tofauti na imeonekana kuchuja sana na kati ya vigezo ni hivi

1. Makosa ya wazi katika hotuba ya maoni ya kambi ya upinzani ambayo imekuwa ikinadiwa kuwa ni bajeti mbadala. Makosa haya yalifichuliwa na mchumi daraja la kwanza Mwigulu Nchemba.

2.Katika kuonyesha kuzidiwa Tundu Lissu wakati wa kujadili bajeti aliinuka na kutaka kutoa taarifa. Taarifa yake ikaonyesha kukana zile propaganda zilizokuwa zimefanikiwa kuwa huwa wanatoa bajeti mbadala. Lissu akasema ni makosa kuita maoni ya upinzani bajeti mbadala. Spika alikubali lakini swali je hii maana yake nini? Ukipekua hansard wabunge wengi wa chadema wakiwamo viongozi wametamka mara nyingi neno bajeti mbadala-umakini uko wapi? Kumbe wakizidiwa wanatafuta ukweli halisi.

3. Hicho kinachoitwa mabadiliko ya baraza kivuli la mawaziri ni kituko (ni baraza dhaifu). Tafakari eti hii ndiyo timu ya serikali mbadala; Peter Msigwa (mropokaji) vs Hamis Kagasheki (Ambassador, Senior Diplomat); Said Arfi (mwanasiasa asiye na utalaamu wowote) vs Harrison Mwakyembe (Mwanasiasa na mwanataaluma mahiri na mzalendo); Wenje (mtengeneza fitina wa Mbowe-Nyamagana dhidi ya Chagulani) vs BM (Bernard Membe- gwiji wa diplomasia, mzalendo na mwanadekorasia aliyewalisha ugali Chadema (Lema, Millya) walipokwenda jimboni kwake Mtama. Mnyika (zero knowledge katika rasilimali za nishati (gesi) Vs Sospeter Muhongo (Profesa, mwanajiolojia-Lissu anamjua vizuri). Ni kwa ufupi tu. Pointi hapa ni kwamba kwa sababu Chadema ina watu dhaifu katika BARAZA KIVULI basi wangechukua wabunge wengine wa upinzani-ubinafsi umewaponza. Waziri kivuli ninaye mkubali ni Lissu (Katiba na Sheria).

4. Katika Bunge hili imedhihirika Chadema hakuna wanachokisimamia kwa dhati bali ni usanii. Hii inathibitishwa na mwenyekiti wao Mbowe kupinga matumizi ya magari yakifahari (V8) yanayogharimiwa na fedha za umma lakini sasa amelichukua gari alilokataa. Hawa hawa ndiyo wanaojidai kupinga matumizi makubwa yasiyo ya lazima lakini nyongeza ya mishahara ya wabunge maana yake ni nyongeza ya matumizi (ya kibajeti), je, hoja yao ya fedha nyingi zitengwe kwenye miradi ya maendeleo ina ukweli?

5. Wamepinga bajeti ya serikali ambayo ndani yake Waziri wa Fedha ameahidi kusaidia wakulima wa pamba kwa kuvipa unafuu wa kodi viwanda vya nchini vinavyozalisha kwa kutumia pamba ya ndani. Hii maana yake soko la pamba ya ndani litakuwa na uhakika bila kuyumbishwa na soko la dunia. Siasa za kanda ya ziwa ni zao la pamba, serikali itapendekeza kusaidia wakulima wa pamba, wao wanapinga bajeti. Hapa wamechemsha, na mchesho itakuwa umeiva vizuri na kunukia pale pamba itapokuwa na soko la uhakika la ndani kama waziri alivyoahidi. Watasikia kanda ya ziwa muda si mrefu.

6.Wameshindwa kutekeleza kwa vitendo, kwa mwaka wa pili mfululizo kuonyesha uchambuzi wa kibajeti kuwa wanaweza kutoa elimu bure (shule ya msingi hadi form 6) kama alivyoahidi Slaa kwenye ilani yao, lakini pia wameshindwa kuainisha namna uchambuzi wao wa kibajeti unavyoweza kushusha bei ya saruji ili iuzwe kwa elfu tano kama alivyoahidi Slaa au angalau pungufu ya elfu 10.

itaendelea
 
wakuu sikufatilia hotuba ya bajeti kwa karibu hivi fedha za kujenga viwanda vitano vipya vya sukari imetengwa?
 
Mkuu una elimu gani? Anyway, maoni yao ingelikuwa mbadala kama serikali ya Chama Cha Mapenzi ingelikuwa sikivu.
 
Wanabodi kwa mara ya kwanza tangu CDM ianze kuwa na wabunge imekuwa ikishiriki vizuri katika vikao vya bunge na hasa uchambuzi wa bajeti. lakini mwaka huu imekuwa tofauti na imeonekana kuchuja sana na kati ya vigezo ni hivi

1. Makosa ya wazi katika hotuba ya maoni ya kambi ya upinzani ambayo imekuwa ikinadiwa kuwa ni bajeti mbadala. Makosa haya yalifichuliwa na mchumi daraja la kwanza Mwigulu Nchemba.

2.Katika kuonyesha kuzidiwa Tundu Lissu wakati wa kujadili bajeti aliinuka na kutaka kutoa taarifa. Taarifa yake ikaonyesha kukana zile propaganda zilizokuwa zimefanikiwa kuwa huwa wanatoa bajeti mbadala. Lissu akasema ni makosa kuita maoni ya upinzani bajeti mbadala. Spika alikubali lakini swali je hii maana yake nini? Ukipekua hansard wabunge wengi wa chadema wakiwamo viongozi wametamka mara nyingi neno bajeti mbadala-umakini uko wapi? Kumbe wakizidiwa wanatafuta ukweli halisi.

3. Hicho kinachoitwa mabadiliko ya baraza kivuli la mawaziri ni kituko (ni baraza dhaifu). Tafakari eti hii ndiyo timu ya serikali mbadala; Peter Msigwa (mropokaji) vs Hamis Kagasheki (Ambassador, Senior Diplomat); Said Arfi (mwanasiasa asiye na utalaamu wowote) vs Harrison Mwakyembe (Mwanasiasa na mwanataaluma mahiri na mzalendo); Wenje (mtengeneza fitina wa Mbowe-Nyamagana dhidi ya Chagulani) vs BM (Bernard Membe- gwiji wa diplomasia, mzalendo na mwanadekorasia aliyewalisha ugali Chadema (Lema, Millya) walipokwenda jimboni kwake Mtama. Mnyika (zero knowledge katika rasilimali za nishati (gesi) Vs Sospeter Muhongo (Profesa, mwanajiolojia-Lissu anamjua vizuri). Ni kwa ufupi tu. Pointi hapa ni kwamba kwa sababu Chadema ina watu dhaifu katika BARAZA KIVULI basi wangechukua wabunge wengine wa upinzani-ubinafsi umewaponza. Waziri kivuli ninaye mkubali ni Lissu (Katiba na Sheria).

4. Katika Bunge hili imedhihirika Chadema hakuna wanachokisimamia kwa dhati bali ni usanii. Hii inathibitishwa na mwenyekiti wao Mbowe kupinga matumizi ya magari yakifahari (V8) yanayogharimiwa na fedha za umma lakini sasa amelichukua gari alilokataa. Hawa hawa ndiyo wanaojidai kupinga matumizi makubwa yasiyo ya lazima lakini nyongeza ya mishahara ya wabunge maana yake ni nyongeza ya matumizi (ya kibajeti), je, hoja yao ya fedha nyingi zitengwe kwenye miradi ya maendeleo ina ukweli?

5. Wamepinga bajeti ya serikali ambayo ndani yake Waziri wa Fedha ameahidi kusaidia wakulima wa pamba kwa kuvipa unafuu wa kodi viwanda vya nchini vinavyozalisha kwa kutumia pamba ya ndani. Hii maana yake soko la pamba ya ndani litakuwa na uhakika bila kuyumbishwa na soko la dunia. Siasa za kanda ya ziwa ni zao la pamba, serikali itapendekeza kusaidia wakulima wa pamba, wao wanapinga bajeti. Hapa wamechemsha, na mchesho itakuwa umeiva vizuri na kunukia pale pamba itapokuwa na soko la uhakika la ndani kama waziri alivyoahidi. Watasikia kanda ya ziwa muda si mrefu.

6.Wameshindwa kutekeleza kwa vitendo, kwa mwaka wa pili mfululizo kuonyesha uchambuzi wa kibajeti kuwa wanaweza kutoa elimu bure (shule ya msingi hadi form 6) kama alivyoahidi Slaa kwenye ilani yao, lakini pia wameshindwa kuainisha namna uchambuzi wao wa kibajeti unavyoweza kushusha bei ya saruji ili iuzwe kwa elfu tano kama alivyoahidi Slaa au angalau pungufu ya elfu 10.

itaendelea

mamamayoo! Mse**g wewe,unaleta umbea hapa,hizo description kwenye mabano manaake nini?
 
watu kama wewe Tanu Youthleague huwa wananishangaza sana. Wakati vijana wenzio wanapambana kuikomboa nchi yetu kutoka mikonkni mwa majambazi a k a serikali ya ccm, wewe unajipendekeza as if na wewe ni mbunge wa ccm ambaye akisha maliza kulalamikia budget namna inavyomkaba ANAUNGA HOJA % 300. Vinginevyo basi na wewe ni Fisadi mkubwa. unanufaika na hili liserikali.
 
mi nataka kujua zile hela za miradi za mwaka uliopita wa bajeti ambazo hazikutumika ziko wapi kuna maelezo yoyote kuhusu hilo?
 
Wanabodi kwa mara ya kwanza tangu CDM ianze kuwa na wabunge imekuwa ikishiriki vizuri katika vikao vya bunge na hasa uchambuzi wa bajeti. lakini mwaka huu imekuwa tofauti na imeonekana kuchuja sana na kati ya vigezo ni hivi

1. Makosa ya wazi katika hotuba ya maoni ya kambi ya upinzani ambayo imekuwa ikinadiwa kuwa ni bajeti mbadala. Makosa haya yalifichuliwa na mchumi daraja la kwanza Mwigulu Nchemba.

2.Katika kuonyesha kuzidiwa Tundu Lissu wakati wa kujadili bajeti aliinuka na kutaka kutoa taarifa. Taarifa yake ikaonyesha kukana zile propaganda zilizokuwa zimefanikiwa kuwa huwa wanatoa bajeti mbadala. Lissu akasema ni makosa kuita maoni ya upinzani bajeti mbadala. Spika alikubali lakini swali je hii maana yake nini? Ukipekua hansard wabunge wengi wa chadema wakiwamo viongozi wametamka mara nyingi neno bajeti mbadala-umakini uko wapi? Kumbe wakizidiwa wanatafuta ukweli halisi.

3. Hicho kinachoitwa mabadiliko ya baraza kivuli la mawaziri ni kituko (ni baraza dhaifu). Tafakari eti hii ndiyo timu ya serikali mbadala; Peter Msigwa (mropokaji) vs Hamis Kagasheki (Ambassador, Senior Diplomat); Said Arfi (mwanasiasa asiye na utalaamu wowote) vs Harrison Mwakyembe (Mwanasiasa na mwanataaluma mahiri na mzalendo); Wenje (mtengeneza fitina wa Mbowe-Nyamagana dhidi ya Chagulani) vs BM (Bernard Membe- gwiji wa diplomasia, mzalendo na mwanadekorasia aliyewalisha ugali Chadema (Lema, Millya) walipokwenda jimboni kwake Mtama. Mnyika (zero knowledge katika rasilimali za nishati (gesi) Vs Sospeter Muhongo (Profesa, mwanajiolojia-Lissu anamjua vizuri). Ni kwa ufupi tu. Pointi hapa ni kwamba kwa sababu Chadema ina watu dhaifu katika BARAZA KIVULI basi wangechukua wabunge wengine wa upinzani-ubinafsi umewaponza. Waziri kivuli ninaye mkubali ni Lissu (Katiba na Sheria).

4. Katika Bunge hili imedhihirika Chadema hakuna wanachokisimamia kwa dhati bali ni usanii. Hii inathibitishwa na mwenyekiti wao Mbowe kupinga matumizi ya magari yakifahari (V8) yanayogharimiwa na fedha za umma lakini sasa amelichukua gari alilokataa. Hawa hawa ndiyo wanaojidai kupinga matumizi makubwa yasiyo ya lazima lakini nyongeza ya mishahara ya wabunge maana yake ni nyongeza ya matumizi (ya kibajeti), je, hoja yao ya fedha nyingi zitengwe kwenye miradi ya maendeleo ina ukweli?

5. Wamepinga bajeti ya serikali ambayo ndani yake Waziri wa Fedha ameahidi kusaidia wakulima wa pamba kwa kuvipa unafuu wa kodi viwanda vya nchini vinavyozalisha kwa kutumia pamba ya ndani. Hii maana yake soko la pamba ya ndani litakuwa na uhakika bila kuyumbishwa na soko la dunia. Siasa za kanda ya ziwa ni zao la pamba, serikali itapendekeza kusaidia wakulima wa pamba, wao wanapinga bajeti. Hapa wamechemsha, na mchesho itakuwa umeiva vizuri na kunukia pale pamba itapokuwa na soko la uhakika la ndani kama waziri alivyoahidi. Watasikia kanda ya ziwa muda si mrefu.

6.Wameshindwa kutekeleza kwa vitendo, kwa mwaka wa pili mfululizo kuonyesha uchambuzi wa kibajeti kuwa wanaweza kutoa elimu bure (shule ya msingi hadi form 6) kama alivyoahidi Slaa kwenye ilani yao, lakini pia wameshindwa kuainisha namna uchambuzi wao wa kibajeti unavyoweza kushusha bei ya saruji ili iuzwe kwa elfu tano kama alivyoahidi Slaa au angalau pungufu ya elfu 10.

itaendelea

Mr DHAIFU yupo kazini.
 
mzalendo tunatafiti tuone mamayako alijifungulia wapi akatoa kiumbe kama wewe isiwe tunaongea na mtu anayetatafutwa milembe
 
Jamani; jibu la makampuni ya simu lilitolewa? Kweli kuna haja ya kupandisha kodi (paye) kwa wafanyakazi ambao ukichanganya na vat watalipa kodi kati ya 30% - 50% kutoka kwenye mshahara yao? Haya makampuni ya simu yatalipa kodi stahiki? Au serikali bado inawaacha. Wahurumieni watanzania?????
 
mzalendo tunatafiti tuone mamayako alijifungulia wapi akatoa kiumbe kama wewe isiwe tunaongea na mtu anayetatafutwa milembe

Wewe utakuwa kwenye kundi la watu wenye akili ndogo na kwa maana hiyo huwezi kujibu hoja za watu wenye akili kubwa (nyingi) kama Tanu Youthleague. Nadhani hata humu JF wengi wanazo sifa kama zako hawajibu hoja na badala yake wanatukana au kuonyesha makosa ya upande mwingine wakiamini ndiyo majibu halisi. Its precisely and concicely rubish"- first class economist.
 
Wewe utakuwa kwenye kundi la watu wenye akili ndogo na kwa maana hiyo huwezi kujibu hoja za watu wenye akili kubwa (nyingi) kama Tanu Youthleague. Nadhani hata humu JF wengi wanazo sifa kama zako hawajibu hoja na badala yake wanatukana au kuonyesha makosa ya upande mwingine wakiamini ndiyo majibu halisi. Its precisely and concicely rubish"- first class economist.

nepi nauye at work. tumekusikia na tutatekeleza. kigumu chama cha magamba!
 
Dah, umejitahidi kweli kuandika unachofikiria ni sahihi, hebu kaa chini utafakari, halafu, uchukue hatua...
 
Back
Top Bottom