Nafasi ya ajira: Walimu wanahitajika

Nafasi ya ajira: Walimu wanahitajika

Najua mtahitaji graphics designer,ikifika hiyo point nishtue tufanye kazi mkuu
 
1. MyElimu ipo Tz nzima au mmejikita Dar es Salaam pekee?

2. Mimi ni Mwl. wa lugha aali ya Kiswahili je, mnahitaji walimu wangapi wa Kiswahili?

3. Je, ajira zenu ni kama zile tulizozizoea za kujuana au la?

Hili swali la Na.3 limekuwa likiathiri sana maana mnatoa tangazo wakati mkiwa na watu wenu pembeni, mnasumbua watu kuja kwenye usaili huku mkijua wengine ni wasindikizaji.
 
MyElimu ni social enteprise yenye lengo ya kusaidia wanafunzi wa sekondari waweze kusoma kwa urahisi ufasaha, na kutumia kile walichosoma kujiendeleza. MyElimu ilianza mwaka 2014 kama platform ya discussion kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wanajadiliana na wenzao kupitia mtandao wa myelimu.com.
Mwaka 2015, tulipewa tuzo na Malkia Elizabeth II wa Uingereza kutokana na namna tunavyotumia technology kuboresha elimu kwa vijana wa Tanzania na hatimaye Africa kwa ujumla.
ZYA2MnB.jpg


Kwa sasa, tunakuza team yetu ili kuweza kufanya mambo mengi zaidi na kuwafikia wanafunzi wengi zaidi. Kutokana na hilo tunahitaji kuongeza walimu na ndipo hapo ambapo hili tangazo linaingia.

I hope nimejitahidi kujibu.
yaani huyu malkia hajaacha tabia yake ya kupeana mikono uku kavaa gloves?
 
Back
Top Bottom