Nafasi ya ajira: Walimu wanahitajika

Nafasi ya ajira: Walimu wanahitajika

Given Edward

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
850
Reaction score
203
Hello. Kuna nafasi za walimu kwa ajili ya kujiunga na shirika la MyElimu kufundisha masomo ya sekondari. Mwalimu awe na uwezo wa ufundisha masomo mawili, awe fluent kwenye kiingereza na mjuzi wa kutumia mitandao.

About MyElimu

k9057MY.png

MyElimu ni social enteprise yenye lengo ya kusaidia wanafunzi wa sekondari waweze kusoma kwa urahisi ufasaha, na kutumia kile walichosoma kujiendeleza. MyElimu ilianza mwaka 2014 kama platform ya discussion kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wanajadiliana na wenzao kupitia mtandao wa myelimu.com.
Mwaka 2015, MyElimu ilipewa tuzo na Malkia Elizabeth II wa Uingereza kutokana na namna tunavyotumia technology kuboresha elimu kwa vijana wa Tanzania na hatimaye Africa kwa ujumla.
ZYA2MnB.jpg


Kwa sasa, MyElimu inakuza team yetu ili kuweza kufanya mambo mengi zaidi na kuwafikia wanafunzi wengi zaidi. Kutokana na hilo nafasi zimefunguliwa kwa ajili ya walimu kujiunga na MyElimu.

Walimu wanaohitajika ni wa sekondari wa Kiswahili, English, Math, Biology, Physics Chemistry na Geography. Full time na part time.

Tuma CV na cover letter kwenda jobs@myelimu.com. You can reach to us via our social media accounts for more information. Deadline ni 13th January 2018, 23:59.

NB:
 
Mnahitaji walimu wa masomo gan. .na pia shirika lenu linaendwa vipi..mnaajiri au inakuwaje
 
Mnahitaji walimu wa masomo gan. .na pia shirika lenu linaendwa vipi..mnaajiri au inakuwaje

Nashukuru kwa kukumbusha. Tunahitaji walimu wa Kiswahili, English, Math, Biology, Physics Chemistry na Geography. Kwenye "kuendwa" sijaelewa, ila yes tunaajiri. Full time na part time.
 
Lazima uwe mwalimu yaan kwny fani ni in education au ujue kufundisha tu maana maelezo yako hajajtosheleza mkuu.
 
Nashukuru kwa kukumbusha. Tunahitaji walimu wa Kiswahili, English, Math, Biology, Physics Chemistry na Geography. Kwenye "kuendwa" sijaelewa, ila yes tunaajiri. Full time na part time.
Asante
 
kuna wengine ni wataalamu au wamebobea kwenye fani moja Mf. chemistry, jiografia, fizikia, hesabu au kiswahili lakini sio walimu

hivyo una hitaji aliyesoma ualimu na kufahamu mwalimu na mwanafunzi wana takiwa kuwaje? kufahamu mitaala ya kufundishia na mbinu mbali mbali? au una taka wataalamu wabobezi ktk fani hizo hata kama sio walimu
 
Ni lazima awe amesoma education tu? Maana kuna kijana anaweza kufundisha PCM level zote ,ila Chuo kasoma engineering VP hapo?
Nadhani kijana kama huyu twaweza kufanya naye kazi kwa namna moja ama nyingine.
 
*#Given Edward*# jibu hoja zetu basi tujue namna ya kusaidizana .
 
kuna wengine ni wataalamu au wamebobea kwenye fani moja Mf. chemistry, jiografia, fizikia, hesabu au kiswahili lakini sio walimu

hivyo una hitaji aliyesoma ualimu na kufahamu mwalimu na mwanafunzi wana takiwa kuwaje? kufahamu mitaala ya kufundishia na mbinu mbali mbali? au una taka wataalamu wabobezi ktk fani hizo hata kama sio walimu
Point nzuri. Ili kuendana na matakwa ya authorities, kwa mwalimu atakayefundisha inabidi awe amesomea. Lakini MyElimu pia tuna platform ya wanafunzi kujadiliana ambayo tunafanya kazi na walimu pia. Hapo tunaweza kufanya kazi hata na ambaye hajasomea lakini anaweza kufundisha.
 
Hello. Kuna nafasi za walimu kwa ajili ya kujiunga na shirika la MyElimu kufundisha masomo ya sekondari. Mwalimu awe na uwezo wa ufundisha masomo mawili, awe fluent kwenye kiingereza na mjuzi wa kutumia mitandao. Tuma CV na cover letter kwenda jobs@myelimu.com. You can reach to us via our social media accounts for more information.

NB:
Jaribu kuifafanua vizuri mkuu,taasisi iko wapi?na inafanyaje kazi?
 
Jaribu kuifafanua vizuri mkuu,taasisi iko wapi?na inafanyaje kazi?
MyElimu ni social enteprise yenye lengo ya kusaidia wanafunzi wa sekondari waweze kusoma kwa urahisi ufasaha, na kutumia kile walichosoma kujiendeleza. MyElimu ilianza mwaka 2014 kama platform ya discussion kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wanajadiliana na wenzao kupitia mtandao wa myelimu.com.
Mwaka 2015, tulipewa tuzo na Malkia Elizabeth II wa Uingereza kutokana na namna tunavyotumia technology kuboresha elimu kwa vijana wa Tanzania na hatimaye Africa kwa ujumla.
ZYA2MnB.jpg


Kwa sasa, tunakuza team yetu ili kuweza kufanya mambo mengi zaidi na kuwafikia wanafunzi wengi zaidi. Kutokana na hilo tunahitaji kuongeza walimu na ndipo hapo ambapo hili tangazo linaingia.

I hope nimejitahidi kujibu.
 
MyElimu ni social enteprise yenye lengo ya kusaidia wanafunzi wa sekondari waweze kusoma kwa urahisi ufasaha, na kutumia kile walichosoma kujiendeleza. MyElimu ilianza mwaka 2014 kama platform ya discussion kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wanajadiliana na wenzao kupitia mtandao wa myelimu.com.
Mwaka 2015, tulipewa tuzo na Malkia Elizabeth II wa Uingereza kutokana na namna tunavyotumia technology kuboresha elimu kwa vijana wa Tanzania na hatimaye Africa kwa ujumla.
ZYA2MnB.jpg


Kwa sasa, tunakuza team yetu ili kuweza kufanya mambo mengi zaidi na kuwafikia wanafunzi wengi zaidi. Kutokana na hilo tunahitaji kuongeza walimu na ndipo hapo ambapo hili tangazo linaingia.

I hope nimejitahidi kujibu.
Ahsante kwa maelezo mazuri,umesema walimu mnawaajiri wa part time na full time pia!
Wanafanya kazi wapi (Ni Dar pekee au mikoani pia?)
Naomba maelekezo ya ofisi zenu zilipo ili ikiwezekana niwatembelee kwa maelekezo zaidi!
 
Back
Top Bottom