The Giant
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 504
- 96
Habari, wakuu?
Kuna mdogo wangu (kiume) kamaliza form four kitambo kidogo, Ila mambo yakamwendea kombo, hakuweza faulu alikuwa anafanya ya kazi bandari (clearing & forwarding), baada ya sekeseke la magufufuri, kampuni yao ikafungwa na kazi akawa amekosa.
Ana driving license Ila ni ya gari ndogo (binafsi), haimruhusu kuendesha gari ya Abiria.
Anahitaji nafasi ya ukondakta wa daladala, hususani za hapa Dar Kama una connection yoyote na wamiliki, madereva, etc.
Naombeni msaada wakuu, mtaani ni pagumu aisee ila kma kutakuwa na nafasi nyingine ya kazi tofauti, usisite kushare nami, ntaongea na mhusika.
Shukrani.
Kuna mdogo wangu (kiume) kamaliza form four kitambo kidogo, Ila mambo yakamwendea kombo, hakuweza faulu alikuwa anafanya ya kazi bandari (clearing & forwarding), baada ya sekeseke la magufufuri, kampuni yao ikafungwa na kazi akawa amekosa.
Ana driving license Ila ni ya gari ndogo (binafsi), haimruhusu kuendesha gari ya Abiria.
Anahitaji nafasi ya ukondakta wa daladala, hususani za hapa Dar Kama una connection yoyote na wamiliki, madereva, etc.
Naombeni msaada wakuu, mtaani ni pagumu aisee ila kma kutakuwa na nafasi nyingine ya kazi tofauti, usisite kushare nami, ntaongea na mhusika.
Shukrani.