Nafasi mpya za kazi TPA

Nafasi mpya za kazi TPA

nasi

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
47
Reaction score
20
Mamlaka ya bandari Tanzania wametoa nafasi za kazi leo.legal officer(6 post) na procurement officer (6 post) source DAILY NEWS 30/01/2015 na www.vijanajobs.com

Kila la kheri waombaji
 
Mshahara kiasi gani?
Je zile bi9 waligawana vipi bila kujua sheria?
 
Nimelisoma hilo tangazo gazetini. Sipendi kusema vitu kwa kukisia wala kukatisha vijana tamaa lkn Jinsi lile tangazo limeandikwa, vigezo vyake na uzoefu unaotakiwa; kwa kuzingatia unyeti na ubize wa taasisi ile inanipa mashaka kama tangazo lile halijalenga watu fulani maalum hasa trainees walioko pale, maana wanafit kabisa sifa hizo.
 
Nahisi kuna shida kwenye tangazo kwani legal officer na procurement officer hawawezi kuwa ma key responsibilities na qualification sawa!!
 
Nahisi kuna shida kwenye tangazo kwani legal officer na procurement officer hawawezi kuwa ma key responsibilities na qualification sawa!!
hiyo kitu pia nimeiona sikuielewa vizuri,maana kazi zote mbili responsibilities na qualifications zipo sawa, sijajua wamemaanisha nini.
 
hiyo kitu pia nimeiona sikuielewa vizuri,maana kazi zote mbili responsibilities na qualifications zipo sawa, sijajua wamemaanisha nini.

Ukiona ivo jua kuna Harufu ya Utapeli alafu TPA wana watu wao palee wanaowatrain kwa muda mrefu sasa nadhani.Nafasi ni zao moja kwa Moja bila Ajizi!!!
 
Nahisi kuna shida kwenye tangazo kwani legal officer na procurement officer hawawezi kuwa ma key responsibilities na qualification sawa!!
Umakini umepungua sana na kama kweli mtu aliyetoa hili tangazo ni makini basi hastahili kuwa na mamlaka ya kutoa tangazo hili.
Inaweza kuwa ni makosa ya makusudi ili kuwapotosha wenye uwezo wa hiyo kazi katika kuhakikisha wanapewa watu waliopangwa tayari, i.e. tangazo limewekwa kama ushahidi. Tangu lini watu wa legal na procurement wakawa na specifications zinazofanana 100%!?
Tuungane kukubali kuwa mtoa/watoa tangazo hili nao ni sehemu ya matatizo ya nchi hii na siku ikitokea nafasi ya kusafisha nchi naye asiachwe. Huwezi kuwa na watu wa HR wenye uwezo kama huu alafu ukatarajia kuwa watu wa aina hii wanaweza kum recruit productive candidate to the firm!

 
Naona tangazo la TPA limetoka upya leo Daily News. Wamebadili vigezo.
Ni nn maana yake kwenu GT? Inamaana hakulisoma kabla hawajatoa? Au wameona upepo mbaya? Ni dhahiri kwamba wanao wataka wanao ndani, ndio maana hawakuweka nguvu nyingi kuelewa kwa undani wanacho kitangaza.
 
Ukiona ivo jua kuna Harufu ya Utapeli alafu TPA wana watu wao palee wanaowatrain kwa muda mrefu sasa nadhani.Nafasi ni zao moja kwa Moja bila Ajizi!!!

Asee hili Taifa umakini umepungua sana, nasikia leo wamerudia kulitangaza kwa vigezo stahiki.
 
Mkuu sijui umakini umepotelea wapi taifa hili, yani kitu hadi inawekwa katika public bila kufanyiwa uhakiki.
 
Procurement officer analinganishwa NA mtu WA law???
 
Aisee atakayepata nafasi anitafute tufanye kazi nataka kuwa supplies! Uzuri wa Bandari hawatumii bei elekezi ya GPSA huku kwingine hela huioni hata kidogo
 
Naona tangazo la TPA limetoka upya leo Daily News. Wamebadili vigezo.
Ni nn maana yake kwenu GT? Inamaana hakulisoma kabla hawajatoa? Au wameona upepo mbaya? Ni dhahiri kwamba wanao wataka wanao ndani, ndio maana hawakuweka nguvu nyingi kuelewa kwa undani wanacho kitangaza.

man naomba unisaidie vigezo vipya vya procurement officer walivyotoa
 
mhhhh!! huo ndo utaratibu wetu wabongo hata ungekuwa ww ungefanya hivyo ndugu kwanza sifa baadae.
 
man naomba unisaidie vigezo vipya vya procurement officer walivyotoa

Mkuu kwa mujibu wa Daily News la tar 31 January... procurement nafasi ni 5, qualifications: Bachelor in Busness Administration, Economics or Material Management. Skills: Computer Literacy with NBMM.
Experience: not less than 3 yrs.
Kwa legal officer nafasi 5, qualifications: Bachelor of Laws, must be a Registered Advocate. Skills: Computer literacy.
Experience: not less than 1 yr.
Mambo mengine yako vile vile kama tangazo la mwanzo.
 
Back
Top Bottom