Nafasi Mpya za Kazi - INUKA

Nafasi Mpya za Kazi - INUKA

Kwanini tuku - PM? Kwani kuna usiri gani hapo?!!

Nimeenda kupeleka leo barua naambiwa barua ni nyingi mno zipo kama 400.sitanii wadau.kama unataka maelezo nikuelekeze ofisi zilipo ni pm asante
 
Hiyo hailipi mshara 250000 hadi 500000 kodi ya nyumba plus gharama za maisha mwsho wa mwez unabak na nini hii chenga
Hivi wewe unafahamu kima cha chini cha mshahara kwa wafanyakazi Tanzania ni shilingi ngapi?
 
Kweli wakuu kama kuna mtu ana info kuhusu hawa jamaa aweke ili kama wameita tujue tumeza. Nami nilijaribu pia.
 
Back
Top Bottom