Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
MIMI siwakatishi tama ila kila mtu ana bahati yake. Ila niliitwa kwenye interview ya Training Coordinator wa BOT, walichotufanyia pale ni udhalilishaji mtupu. Kama humjui mtu bwana usubiri rehema za mungu tu. au Magofuli akiingia abadilishe mfumo wa kupata ajira BOT hata CC watoto wa walalahoi tuingie BOT. Yan tuliitwa watano, ila wawili kati yetu walitwa kwa majina wakatuacha receiption kwa masaa ma4 baada ya kufanya written interview huku yule aliyewaita akiwa na majibu yetu kwenye flash tukisubiri kufanya presentation. Nilipotoka nikauliza mfanyakazi mmoja utaratibu wa kufanya interview hapa mbona wa ajabu sana, akanijibu "wewe unamjua nani hapa" yani pale BOT basi nikaondoka na hasira na upweke wangu.
Tunashukuru japo wameweka box bila email, nadhani ni vizuri wangeweka option zote mbili kuliko posta pekee! Shukran mdau
hhhahahaha mkuu hutaki hata upoteze hela ya kutuma application unataka ununuwe vocha ujiunge Mb za kutosha ili uwatumie tuu kwenye email
hhhahahaha mkuu hutaki hata upoteze hela ya kutuma application unataka ununuwe vocha ujiunge Mb za kutosha ili uwatumie tuu kwenye email
Nicheki pm nikuupe hintDah asante sana..yaani hii kesho tu natuma
Jaribuni wakuu siku hizi pale BOT wanaconsider hata nyie watoto wa walalahoi sio kama zamani nafasi zilikuwa zinatolewa kwa watoto wa Walalahai
NAWASILISA - Lucchesse
wewe tuma tu maombi huwezi jua
unaweza pata kizali zali ukabaki mdomo wazi.