NJOGHOMILE
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 694
- 1,943
Wanahitajia vijana waliosomea Account, Finance and Administration fresh from school ngazi ya Certificate, Diploma au Degree(yeyote kati ya hizi)
Kama wewe ni muhusika naomba namba yako PM au kama unamjua yeyote mwenye sifa nipe namba yake PM ili nimuunganishe na muhusika.
====================
Wakuu naomba kuwatahadharisha kuhusu hili tangazo.
Kuna mzee mmoja amepata namba yangu ya simu kwenye mtandao wa Linkedln, kwani kule nimeweka profile yangu halisi.
Sasa ameniomba nimtafutie hao vijana, amedai kuwa kuna nafasi za kazi zimetangazwa mgodini anapofanyia kazi.
Binafsi simjui na yeye hanijui, zaidi ya kuona profile yangu Linkedln. Nilimuhoji tu maswali machache kama vile sifa(kiwango cha elimu) na idadi ya nafasi, ndipo akaniambia kama nilivyobainisha hapo juu.
Kwa wale mlionipa namba zenu, namtumia huyo mzee yeye atawatafuta na mtaweza kuongea kwa undani zaidi.
Lakini kuweni makini, mkiona kiashiria cha utapeli naomba msiingie kingi ila msiache kumsikiliza atakapowapigia.
Kama wewe ni muhusika naomba namba yako PM au kama unamjua yeyote mwenye sifa nipe namba yake PM ili nimuunganishe na muhusika.
====================
Wakuu naomba kuwatahadharisha kuhusu hili tangazo.
Kuna mzee mmoja amepata namba yangu ya simu kwenye mtandao wa Linkedln, kwani kule nimeweka profile yangu halisi.
Sasa ameniomba nimtafutie hao vijana, amedai kuwa kuna nafasi za kazi zimetangazwa mgodini anapofanyia kazi.
Binafsi simjui na yeye hanijui, zaidi ya kuona profile yangu Linkedln. Nilimuhoji tu maswali machache kama vile sifa(kiwango cha elimu) na idadi ya nafasi, ndipo akaniambia kama nilivyobainisha hapo juu.
Kwa wale mlionipa namba zenu, namtumia huyo mzee yeye atawatafuta na mtaweza kuongea kwa undani zaidi.
Lakini kuweni makini, mkiona kiashiria cha utapeli naomba msiingie kingi ila msiache kumsikiliza atakapowapigia.