rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
- Thread starter
- #21
Duuh Waheshimiwa sana ,nimekubali ushauri wa bure. Nimewakubalia hata bila kupimwa upstairs kwangu hapako vizuri. Naomba nifunge mada mnisamehe kwa yote,sirudiii tena kujishughulisha na wa Tz haswa kutokea JF kwenye masuala ya kazi mpaka nikiwa na pesa za kuwalipa wao na consulatantspesa ya kutosha,nashukuru SMU ,nimeipata shughuli,mwezi mtukufu huu:tape: