teamsuccess
Member
- Mar 17, 2014
- 9
- 0
Kutokana na kauri ya waziri wa ajira aliyotolewa hivi karibuni pale bungeni yakuwahamisisha vijana wanaomaliza vyuo na wengine kufikiria zaidi kujiajiri kuliko kuajiriwa kwana nafasi za kazi bado ni chache sana ukilinganisha na idadi ya waombaji, pia aliweza kumsifia mwanamziki fulani wa bongo flava ambae ameamua kujiajiri kwenye mziki mbali na elimu yake aliyo nayo ya chuo kikuu.
Kwa mtazamo wangu tatizo la ajira litaendelea kuwa kubwa kadri miaka inavyozidi kwenda na ukuangalia hali halisi ya sasa kazi zinatangazwa anaitajika mtu mmoja lakini wanaitwa watu 70 kwenye usaili hii ratio bado nashindwa kuielewa kabisa sehemu nyingine wanatangaza kwa walioomba nafasi fulani na wanaona wametimiza vigezo tulivyo viitaji basi wafike kwenye usaili sasa hii ni nini?
Kwa mawazo yangu nadhani muheshimiwa waziri alikuwa sahihi kwa upande mmoja kuwa vijana wa sasa wanaomaliza elimu na hata wengine wanotafuta maisha bora wafikilie zaidi kujiajiri kuliko kuajiriwa, hii inanikumbusha kitabu kimoja kinaitwa "Poor dady rich dady" cha Robert Kiyosaki, ndio hali halisi ya sasa kwenye soko la ajira.
Nikaamua kuongea na rafiki yangu mmoja ambe akasema anatoa nafasi 10 tu ndani ya mwezi huu kwa yoyote atakaependa kujiajiri kupitia kampuni ya Forever Living Products ambayo kwa ukweli watu wake wanatengeneza sana pesa hadi wengine wanaacha kazi zao ambazo vijana wengi wanazitafuta wao wanaresign.Sasa nikaona ni share na wadau humu ndani kwa anaependa kupata nafasi hii huwezi jua inaweza ndio ikawa njia yako ya mafanikio kwani mtaji wao ni mdogo sana kuliko biashara nyingine na pia unafundishwa jinsi yakufanya hii biashara.Kwa yeyote atakaependa kuachana na hii shida ya ajira awasiliane na huyu muhusika kwa email:aleobarbandesisflp@yahoo.com au simu 0769530240 piga, tuma meseji au whatsup.
Kwa mtazamo wangu tatizo la ajira litaendelea kuwa kubwa kadri miaka inavyozidi kwenda na ukuangalia hali halisi ya sasa kazi zinatangazwa anaitajika mtu mmoja lakini wanaitwa watu 70 kwenye usaili hii ratio bado nashindwa kuielewa kabisa sehemu nyingine wanatangaza kwa walioomba nafasi fulani na wanaona wametimiza vigezo tulivyo viitaji basi wafike kwenye usaili sasa hii ni nini?
Kwa mawazo yangu nadhani muheshimiwa waziri alikuwa sahihi kwa upande mmoja kuwa vijana wa sasa wanaomaliza elimu na hata wengine wanotafuta maisha bora wafikilie zaidi kujiajiri kuliko kuajiriwa, hii inanikumbusha kitabu kimoja kinaitwa "Poor dady rich dady" cha Robert Kiyosaki, ndio hali halisi ya sasa kwenye soko la ajira.
Nikaamua kuongea na rafiki yangu mmoja ambe akasema anatoa nafasi 10 tu ndani ya mwezi huu kwa yoyote atakaependa kujiajiri kupitia kampuni ya Forever Living Products ambayo kwa ukweli watu wake wanatengeneza sana pesa hadi wengine wanaacha kazi zao ambazo vijana wengi wanazitafuta wao wanaresign.Sasa nikaona ni share na wadau humu ndani kwa anaependa kupata nafasi hii huwezi jua inaweza ndio ikawa njia yako ya mafanikio kwani mtaji wao ni mdogo sana kuliko biashara nyingine na pia unafundishwa jinsi yakufanya hii biashara.Kwa yeyote atakaependa kuachana na hii shida ya ajira awasiliane na huyu muhusika kwa email:aleobarbandesisflp@yahoo.com au simu 0769530240 piga, tuma meseji au whatsup.