Naepuka lawama

Matatizo yamekuzidi Yes! Kwa kuwa una laana wewe
 
Nimeumia mpaka mchoz,ivi kwann kama unampenda mama aliyekuleta dunian hamthamin mwanamke uliyempa mimba,unamwambia toa mimba,mtoto siyo wangu,mimba siyo yangu.Ninachomshukuru Mungu majinja inapotokea inaenda sana na wanaume na kuacha watoto
 
I love you
 
wanawake nao wana vimambo vya ajabu si cha kushangaza hata wewe huyo sio baba yako.
akikosea apigwe kweli me siko upande wowote ila nachomanisha mtu akifanya makosa aadhibiwe hata baba yangu aliadhibiwa na kupelekwa polisi. nasema tena wanawake ni pori huwezi kumwelewa ukijikuta unasoma njia zake utakua chizi wala hutafanikiwa bora mwanaume huwa mkweli na anaonyesha kabisa katokea mahali fulani lakini mwanamke kumtambua ni ngumu sababu wanajua kutunza siri sana. nasema tena kama kakosea huyo mama yako na apigwebvyakutosha na afunzwe hata marehemu baba yangu nae alipigwa.
 
Wewe choko kweli wewe, sasa ndio umeandika upuuzi gani hapa
 
Long time mkuu,ni nani huyo! Cosmas Chidumule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…