Mtetee mama, tena umpiganie haswa awe salama. Mama anatakiwa kulindwa kwa nguvu zote; UTAOMBA RADHI BAADAE KWA BABA HASIRA ZIKIPOA, ila mama yupo salama kuliko umwache mama akiaibishwa na kuvuliwa nguo mbele ya halaiki. Mpiganie mama kwani yeye ndo anajua uchungu wako, ulikuwa ukirusha vipi miguu tumboni, ulikuwa unakula vipi ulipo kuwa tumboni. Acha masikhara ndugu, MAMA YANGU NITAMLINDA KWA GHALAMA YOYOTE, nampenda sana MAMA YANGU.