Na huu mtindo wa kulipa mamilioni kwenye vituo vyote vya television eti wanajionesha wakurugenzi,sijui walitenga kiasi gani cha pesa kwenye advertisement, na matangazo ya nini kote huko wakati wao ni monopoly?
Huyu mkurugenzi mkuu mpya alikuwa mkurugenzi wa benki kabla ya kuteuliwa kuliongoza shirika hili, nadhani anadhani NHC kuna ushindani kama ilivyo sekta ya mabenki, alipoteuliwa alifukuza wakurugenzi na mameneja wote aliowakuta,kisha akawabeba wenzake kutoka huko alikokuwa akawapa ukurugenzi na umeneja hapo NHC.
Hili la 168m kwa vyumba vitatu floor ya nne sikubaliani nalo.