Naendelea kufanyia wanafunzi application za vyuo

wajinga hawaishi, ndio maana umewapiga hela zao! kwa hiyo usingekuwepo wewe hawa watoto wasingeapply?
sasa kumbe shida yako hutaki mi niwafanyie application kisa ntapata hela halafu wao wana ndugu zao watawafanyia bure!!!

ntolee kichaa chako hapa.
 
Mkuu mi nadhani ndiye mtu wa kwanza kutoka JF niliyekupa mteja na sikupata malalmiko yeyote yale, naona kijana amekushikilia kwenye huu uzi

huyu mpuuzi sijui hajala mchana, yaani watu wote niliowafanyia application wasilalamike aje alalamike yeye ambaye hata simjui na wala sijawahi kumfanyia application, naona anatafuta mtu wa kumfia
 
huyu mpuuzi sijui hajala mchana, yaani watu wote niliowafanyia application wasilalamike aje alalamike yeye ambaye hata simjui na wala sijawahi kumfanyia application, naona anatafuta mtu wa kumfia
kweli biashara matangazo
 
mkuu vipi UDOM NA MZUMBE wameshatoa majina??
 
samahani mkuu kama hutajali
kati ya wote uliowasaidia ku-apply vyuo ni wangapi wamepata na wangapi wamekosa !?
 
samahani mkuu kama hutajali
kati ya wote uliowasaidia ku-apply vyuo ni wangapi wamepata na wangapi wamekosa !?

85% wamepata round ya kwanza na ya pili, waliokosa ni kutokana na ubishi wao wa kung'ang'ania kozi zilizojaa na vyuo vyenye cutthroat competition kama UDSM wakati ufaulu wao ni wa kawaida( 2 au 3 za mwisho)
 
85% wamepata round ya kwanza na ya pili, waliokosa ni kutokana na ubishi wao wa kung'ang'ania kozi zilizojaa na vyuo vyenye cutthroat competition kama UDSM wakati ufaulu wao ni wa kawaida( 2 au 3 za mwisho)
kuna dogo alidisco chuo hiv utaratibu wa kuomba ukoje maana kakosa raund zote mbil
 
Wacha njaa za kijinga hicho kitu cha dk kadhaa tu,sisi miaka yote tunawasaidia madogo....wewe unaleta unyonyaji.saidia wana waende chuo.
 
samahan naomba kuulza swali japo ni tofaut na mada husika kuna ndugu yangu alchaguliwa vyuo viwil sua na udom alconfrm sua na wakamtumia admission letter na joining sasa at the same time kuna rfk ake alchaguliwa sua akatumiwa vyote na registration number sasa huyu ndugu yangu hawakutuma registration number sasa sielew kuna tatizo ?
 
we mpuuzi , kwahiyo wewe ni nani mpaka mimi nifuate maagizo yako?
Mkuu mbona unatoka povu hata ushauri wa kawaida tu "saidia wadogo wakaelimike hawatakusahau" mi nimewasaidia 5 bure na wote wamepata ila kimyakimya tu
 
Hivi "utapeli" utaisha lini??? Yaaani mtu kasoma hadi form six bado akosee mara mbili kujaza chuo na bado atafute 'msaada' ?? Ni ajabu sana ...ila acha waibiwe ndo wataamka[emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Ubarikiwe kwa msaada wako!!
 
Hivi "utapeli" utaisha lini??? Yaaani mtu kasoma hadi form six bado akosee mara mbili kujaza chuo na bado atafute 'msaada' ?? Ni ajabu sana ...ila acha waibiwe ndo wataamka[emoji41] [emoji41] [emoji41]
naam hakika niliosaidia wataleta majibu... kama wataniruhusu nileta screeenshots zao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…