KESHENI NYAJI
Member
- Nov 6, 2016
- 7
- 2
Hizi technical colleges subiri mkuu watoe majibu wataposti kwenye wepsite ya nacte. na kutakuwa na option ya kujua chuo ndugu yako alichopangiwa. Nadhani bado wanaendelea na mchakato.Kibaha college of health and allied science
Dah hapo nahofia asije kukosa tu nafasi maana nacte wako kimya na hata wenyewe kama chuo wapo kimy piaHizi technical colleges subiri mkuu watoe majibu wataposti kwenye wepsite ya nacte. na kutakuwa na option ya kujua chuo ndugu yako alichopangiwa. Nadhani bado wanaendelea na mchakato.
Nafasi anaweza akapata keep on waitinngDah hapo nahofia asije kukosa tu nafasi maana nacte wako kimya na hata wenyewe kama chuo wapo kimy pia
HIVI wewe mpuuzi unafikiri watu hawajui kufanya application?Wewe ni Tapeli tu kama Matapeli wengine!
ONLINE APPLICATION SYSTEM (OAS) za vyuo vyote wameeka namba za simu za kuomba msaada incase Mwanafunzi amekwama ktk online process, na vyuo vingi vinafanana application interface, na zote ni USER FRIENDLY mf AOS za ISW, WI, MUST, NIT na MUHIMBILI Univ - hao ote wanatumia SIMS!
MADINI na CBE wao wanatumia SARIS! Hakuna namna yoyote wewe ya kuwaibia watoto watu vijihela vyao! Wewe kuwasaidia kuapply na kuwaibia sio sababu ya wao kupata ADMISSIO!
Hizi hapa ONLINE Support za baadhi ya Vyuo:
WATER INSTITUTE
0717210880 & 0742990140
UDSM:
Technical Support
+255 716 21 6308
+255 623 668950
+255 76 553 7512
support@udsm.ac.tz
Payment Issues
malipo@admission.ac.tz
NIT
IT Support:
0754283703.
Admissions office at 0752413123, 0762202215, 0782422199
Ndio maana nikasema, wajinga ndio waliwao! So endelea kuwatapeli watoto wa watu!
Wewe ni Tapeli tu kama Matapeli wengine!
ONLINE APPLICATION SYSTEM (OAS) za vyuo vyote wameeka namba za simu za kuomba msaada incase Mwanafunzi amekwama ktk online process, na vyuo vingi vinafanana application interface, na zote ni USER FRIENDLY mf AOS za ISW, WI, MUST, NIT na MUHIMBILI Univ - hao ote wanatumia SIMS!
MADINI na CBE wao wanatumia SARIS! Hakuna namna yoyote wewe ya kuwaibia watoto watu vijihela vyao! Wewe kuwasaidia kuapply na kuwaibia sio sababu ya wao kupata ADMISSIO!
Hizi hapa ONLINE Support za baadhi ya Vyuo:
WATER INSTITUTE
0717210880 & 0742990140
UDSM:
Technical Support
+255 716 21 6308
+255 623 668950
+255 76 553 7512
support@udsm.ac.tz
Payment Issues
malipo@admission.ac.tz
NIT
IT Support:
0754283703.
Admissions office at 0752413123, 0762202215, 0782422199
Ndio maana nikasema, wajinga ndio waliwao! So endelea kuwatapeli watoto wa watu!
nimekustahiTapeli mwingine kuweni makini
msaada wa bure wakati kuna gharama ya muda na bando mkuu?Yan madogo wamepanick kukosa vyuo kwa batch zote 2 ila mimi naimani msaada wa bure ndo mzuri kwa sasa maana wamepoteza pesa tayari
HIVI wewe mpuuzi unafikiri watu hawajui kufanya application?
watu wengi wanajua sana tuu ila wanakosa muda wa kufanya hizi kazi, naona unajitahidi sana kunichafua ila nikujibu jibu moja tuu.
wametoa majina ya waliopata multiple selection mkuuHivi awamu ya pili wameshatoa?
we ni mpumbavu.Nashukuru kwa kutukana!
Hakuna mwanafunzi anaetaka kuapply Chuo afu eti ".....wanakosa muda wa kufanya hizi kazi...." Ndio nimekuambia WAJINGA NDIO WALI WAO! Endelea kuwaibia!
halafu kingine usifikiri kila mtu ana accesories kama computer na vifaa vingine, kupitia JF kuna watu wapo vijijini nimewafanyia APPLICATION maana wamekuwa reffered kwangu na watu waliosoma hii post cha ajabu we mpumbavu unakuja kuropoka hapa...
Usifikiri waliopo kimya hawajaona au hawajui, la hasha wengi wanajua kwa maana ukimfanyia mtu application (ambaye hana muda) unaweza kumtumia screen shots za application uliyofanya, nadhani bwana frank atakuwa shahidi kutoka hukuhuku JF.
huna tusi jipya Mkuu?we ni mpumbavu.
maana unabishana na mimininayefanya hizi kazi.
Hivi unajua kuwa kuna wanafunzi wapo jeshini hadi hivi sasa au unaropoka tuu ?
Nashukuru kwa kutukana!
Hakuna mwanafunzi anaetaka kuapply Chuo afu eti ".....wanakosa muda wa kufanya hizi kazi...." Ndio nimekuambia WAJINGA NDIO WALI WAO! Endelea kuwaibia!
we ni mpumbavu.
maana unabishana na mimininayefanya hizi kazi.
Hivi unajua kuwa kuna wanafunzi wapo jeshini hadi hivi sasa au unaropoka tuu ?
huna tusi jipya Mkuu?
Wengi tu wamefanyiwa application na ndugu zao, na baadhi jamaa zao.... tena bureeeee kabisaa! Ila kwa kuwa wewe una njaa, endelea kuwaibia! Wajinga ndio waliwao!
wajinga hawaishi, ndio maana umewapiga hela zao! kwa hiyo usingekuwepo wewe hawa watoto wasingeapply?kwahiyo hao ambao nimewafanyia application mimi huwa hawana ndugu au!!!