Wadau kwema
Katika pita pita zangu nimekuta mahala makala Mkuu wa Wilaya wa Kongwa Dkt. Serera na KM Kilimo Wakiwa wanafanya ukaguzi kwenye mashamba ya Korosho Vijiji vya Mkutani na Msunjilile.
Kumbe show inaendelea Dodoma halafu watu wamekausha muda huo watu tumekazana na lindi na mtwara dah.
Ngoja nifunge safar niende.. nikikuta na fursa nyingine ntawarudia stay tuned.....
View attachment 1566689View attachment 1566688View attachment 1566690
Sent from my Redmi 6 Pro using
JamiiForums mobile app