BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,533
- 3,837
Wakuu,
Naenda Kampala na nitakaa pale kwa wiki moja. Kubwa ni kwenda kufanya utalii wa kibiashara, kuona wao wanauza vitu gani kwa bei ndogo na wao wananunua vitu gani kwa bei kubwa ili nione kama naweza kufanya nao biashara. Hasa hasa nataka kujua watu wa Uganda wananunua nini kutoka Tanzania ili niwapelekee.
Kama muda wangu utaruhusu basi nitaenda mpaka Sudan kusini, nasikia huko biashara ya chakula ipo vizuri. Nitawapa mrejesho nikirudi.
Ni bus gani nzuri na wana huduma nzuri kutoka Dar kwenda Kampala?
Asanteni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Naenda Kampala na nitakaa pale kwa wiki moja. Kubwa ni kwenda kufanya utalii wa kibiashara, kuona wao wanauza vitu gani kwa bei ndogo na wao wananunua vitu gani kwa bei kubwa ili nione kama naweza kufanya nao biashara. Hasa hasa nataka kujua watu wa Uganda wananunua nini kutoka Tanzania ili niwapelekee.
Kama muda wangu utaruhusu basi nitaenda mpaka Sudan kusini, nasikia huko biashara ya chakula ipo vizuri. Nitawapa mrejesho nikirudi.
Ni bus gani nzuri na wana huduma nzuri kutoka Dar kwenda Kampala?
Asanteni sana
Sent using Jamii Forums mobile app