Naenda chooni nikuletee nini???

Naenda chooni nikuletee nini???

KAJICHO KIVULI

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2013
Posts
2,061
Reaction score
546
watanzania bwana !! kila unapoenda safarinii hawata kosa chakukuagiza

"ukienda mwanza utasikia utuletee samaki !! ukienda mbeya utuletee mchele na maparachichi!! ukienda mtwara utuletee korosho!! ukienda bukoba utuletee nizi!! ukienda zanzibar utuletee tv na deckii!! ukienda singida utuletee mafuta ya alizeti!! mbaya zaidi sasa ukienda iringa utasikia utuletee msichana wa kazi(beki tatu)!!

haya mi naenda chooni sasa nikuleteee nini"
 
watanzania bwana !! kila unapoenda safarinii hawata kosa chakukuagiza

"ukienda mwanza utasikia utuletee samaki !! ukienda mbeya utuletee mchele na maparachichi!! ukienda mtwara utuletee korosho!! ukienda bukoba utuletee nizi!! ukienda zanzibar utuletee tv na deckii!! ukienda singida utuletee mafuta ya alizeti!! mbaya zaidi sasa ukienda iringa utasikia utuletee msichana wa kazi(beki tatu)!!

haya mi naenda chooni sasa nikuleteee nini"

Niletee ndoo ya Kinyesi
 
watanzania bwana !! Kila unapoenda safarinii hawata kosa chakukuagiza

"ukienda mwanza utasikia utuletee samaki !! Ukienda mbeya utuletee mchele na maparachichi!! Ukienda mtwara utuletee korosho!! Ukienda bukoba utuletee nizi!! Ukienda zanzibar utuletee tv na deckii!! Ukienda singida utuletee mafuta ya alizeti!! Mbaya zaidi sasa ukienda iringa utasikia utuletee msichana wa kazi(beki tatu)!!

haya mi naenda chooni sasa nikuleteee nini"

hapo bila ya kukuagiza wewe mwenyewe utatuletea harufu ya choo utakayotoka nayo humo chooni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom