wewe ni ke au me? na unatokea sehemu gani? kama unatoka dar panda basi lolote lenye namba d,
kama mbeya kula new force. kama Karatu panda lacrome. kama Mwanza panda naj.kama Tanga panda tahmeed.kama Dom panda shabiby.
hoteli fikia am Marne Yale zipo za bei hizo na mjini unatumia miguu.
kwa Maelezo zaidi njoo inbox.