Nadharia: Maji tunayokunywa ni mikojo ya Dinosauri

Nashindwa kuelewa tu imekuwaje wanyama wa kale wapotee wote kabsa wakati walikuwa wanazaliana ukiangalia hata yule dinosaur aliyepatika. Mtwara akaenda kuwekwa museum ya ujeruman aligundulika 1907-1913 Kwa nini viumbe hawa wapotee wote wasiache hata vizazi vyao utakuja kugundua walifanyima Extermination Yan waliuwawa wote mpka vizalia vyao Kwa ajili ya kutupisha binadamu sisi tuishi ila swali la msingi nani ana uwezo wa kuuwa viumbe wote hao na miaka hiyo hiyo kujengwa ma pyramid kibao mexico,misri n.k hatuko peke yetu Kama tunavyo dhani hata kama tuna muamini mungu basi pia Kuna viumbe wengine wenye nguvu
 

Attachments

  • Screenshot_20240402-085031.png
    Screenshot_20240402-085031.png
    923.8 KB · Views: 1
Ndio kwa mujibu ya Wanasayansi wamesema kuwa haya maji yote tunayoyatumia kunywa, kuoga, kupikia na matumizi mingine ni mikojo ya wanyama wa kale wanaoitwa Dinosauri

Wanadai kuwa kabla ya binaadamu kuwepo ....dinosauri walikuwepo duniani kwa zaidi ya miaka milion 200 na waliishi katika mabara yote ...yaani walikuwepo dunia nzima...na zama walizoishi ziliitwa zama za Mesozoic na walipotea duniani miaka 66 iliyopita kwa maana hadi katika miaka ya 1950 dinosauri bado walikuwepo duniani na kulikuwepo na ziaid ya aina 900 za dinosauri duniani

Wataalamu hao wamesema kuwa maji yaliyokuwepo yalinywewa na wanyama hao kwa miaka hiyo yote na ilirudi kama mikojo

Kama sasa hivi unapokunywa maji na kwenda kukojoa...basi ndivyo ilivyo kwa dinosauri ambao walikunywa maji yaliyokuwepo duniani kisha wakayarejesha kama mikojo

Wataalamu hao wanasema kuwa hadi sasa hivi binaadamu ameishi duniani kwa miaka 200,000 tu wakati dinosauri wameishi duniani kwa zaidi ta miaka milion 200 duniani

Kutokana na huvyo yale maji yaliokuwepo yote yalinywewa na dinosauri na kurudi duniani kama mikojo

Wataalamu wanasema kuwa kwa idadi binaadamu ni wengi kuliko idadi ya dinosauri wote waliowahi kuishi duniani lakini miaka waliyoishi dinosauri hapa duniani ni mingi sana kushinda binaadamu hiyo ndio iliyopelekea dinosauri kutumia kiasi kikubwa cha maji kuliko binadamu

Hivyo unapokunywa glasi 3 za maji ni sawa na umekunywa glasi 3 za mikojo ya dinosauri...haijalishi ni maji ya bomba, maji ya mlimani au maji ta kwenye chupa

Credit BWANA FACT


View attachment 2951088
Ndugu zanguni....
Bange si ya kila kichwa.
 
Ndio kwa mujibu ya Wanasayansi wamesema kuwa haya maji yote tunayoyatumia kunywa, kuoga, kupikia na matumizi mingine ni mikojo ya wanyama wa kale wanaoitwa Dinosauri

Wanadai kuwa kabla ya binaadamu kuwepo ....dinosauri walikuwepo duniani kwa zaidi ya miaka milion 200 na waliishi katika mabara yote ...yaani walikuwepo dunia nzima...na zama walizoishi ziliitwa zama za Mesozoic na walipotea duniani miaka 66 iliyopita kwa maana hadi katika miaka ya 1950 dinosauri bado walikuwepo duniani na kulikuwepo na ziaid ya aina 900 za dinosauri duniani

Wataalamu hao wamesema kuwa maji yaliyokuwepo yalinywewa na wanyama hao kwa miaka hiyo yote na ilirudi kama mikojo

Kama sasa hivi unapokunywa maji na kwenda kukojoa...basi ndivyo ilivyo kwa dinosauri ambao walikunywa maji yaliyokuwepo duniani kisha wakayarejesha kama mikojo

Wataalamu hao wanasema kuwa hadi sasa hivi binaadamu ameishi duniani kwa miaka 200,000 tu wakati dinosauri wameishi duniani kwa zaidi ta miaka milion 200 duniani

Kutokana na huvyo yale maji yaliokuwepo yote yalinywewa na dinosauri na kurudi duniani kama mikojo

Wataalamu wanasema kuwa kwa idadi binaadamu ni wengi kuliko idadi ya dinosauri wote waliowahi kuishi duniani lakini miaka waliyoishi dinosauri hapa duniani ni mingi sana kushinda binaadamu hiyo ndio iliyopelekea dinosauri kutumia kiasi kikubwa cha maji kuliko binadamu

Hivyo unapokunywa glasi 3 za maji ni sawa na umekunywa glasi 3 za mikojo ya dinosauri...haijalishi ni maji ya bomba, maji ya mlimani au maji ta kwenye chupa

Credit BWANA FACT


View attachment 2951088
Na hao dinasaurs maji waliyokunywa ulikuwa mkojo wa nani? Mara maji yaliletwa na kimondo kilichoanguka duniani.. mara mara mara ... In short hawana majibu
 
Nashindwa kuelewa tu imekuwaje wanyama wa kale wapotee wote kabsa wakati walikuwa wanazaliana ukiangalia hata yule dinosaur aliyepatika. Mtwara akaenda kuwekwa museum ya ujeruman aligundulika 1918 Kwa nini viumbe hawa wapotee wote wasiache hata vizazi vyao utakuja kugundua walifanyima Extermination Yan waliuwawa wote mpka vizalia vyao Kwa ajili ya kutupisha binadamu sisi tuishi ila swali la msingi nani ana uwezo wa kuuwa viumbe wote hao na miaka hiyo hiyo kujengwa ma pyramid kibao mexico,misri n.k hatuko peke yetu Kama tunavyo dhani hata kama tuna muamini mungu basi pia Kuna viumbe wengine wenye nguvu
Nakusahihisha sio Mtwara Bali alipatikana mkoa wa LINDI tendeguru panaitwa. asante
 
Na hizo bahari na maziwa ni mikojo ya nani? Na hao dinosaour walikunywa maji/mikojo ya nani?
 
Back
Top Bottom