BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Hali sio nzuri!
Ila najiuliza, Tanzania yetu ya kupendeza hakuna wataalam wa MICROBIOLOGY au BIOTECHNOLOGY ambao either wamefundishwa huku nchini au nje ya nchi, ambao wakati huu wangekua msaada mkubwa sana kutuongoza katika kutambua chanjo ambazo ziko tayari zinatolewa katika mataifa mengine.
Ni wakati sahihi kwa serikali yetu kuanzisha kitengo kikubwa cha biological warfare ndani ya JWTZ military intelligence unit.
Ni wakati sahihi pia wa kusomesha wataalamu wa hali ya juu wa microbiology, biotechnology, synthetic biology na vitu kama hivyo. Huko tuendako sio kuzuri.
Tunahitaji uwekezaji mkubwa kwenye sayansi kwa ajili ya usalama wetu siku za usoni.
Chanjo zinazofanya vizuri kwa sasa ni za nchi ya ISRAEL na URUSI.
Ila najiuliza, Tanzania yetu ya kupendeza hakuna wataalam wa MICROBIOLOGY au BIOTECHNOLOGY ambao either wamefundishwa huku nchini au nje ya nchi, ambao wakati huu wangekua msaada mkubwa sana kutuongoza katika kutambua chanjo ambazo ziko tayari zinatolewa katika mataifa mengine.
Ni wakati sahihi kwa serikali yetu kuanzisha kitengo kikubwa cha biological warfare ndani ya JWTZ military intelligence unit.
Ni wakati sahihi pia wa kusomesha wataalamu wa hali ya juu wa microbiology, biotechnology, synthetic biology na vitu kama hivyo. Huko tuendako sio kuzuri.
Tunahitaji uwekezaji mkubwa kwenye sayansi kwa ajili ya usalama wetu siku za usoni.
Chanjo zinazofanya vizuri kwa sasa ni za nchi ya ISRAEL na URUSI.