Nadhani ni girlfriend lakini nahisi nauziwa

chifusongea

Senior Member
Jan 8, 2016
164
154
Kuna mdada nipo naye kwenye mahusiano kama mwaka sasa lakini kila tukionana au nikilala naye lazima aniombe hela.Sasa najiuliza huyu ni girlfriend au ananiuzia.?Girlfriend Kwa ninavyofahamu hakuombi Bali unampa mwenyewe na akiomba ujue ana shida Fulani.lakini huyu kazidi jamani.
 
Kwani kukataa unashindwa?
Yaweza kuwa ulimzoesha mwenyewe pia.
Au ni business muulize akishindwa kukupa majibu piga chini
 
Back
Top Bottom