mkuu kwani wapi walisema awamu ya pili ni kwa vyuo vya private?kwakweli binafsi naumia sana hawa NACTE walisema tarehe 31 mwezi wa nane watakuwa wametoa majibu sasa cha kushangaza mapka leo wapo kimya na wanajua vyuoni tunatakiwa kureport mwezi wa tisa. wangetoa mapema ili wazazi wetu wajipange maana hali ya uchumi kwa sasa ni ngumu.
na second selection ni ya vyuo vya private karo yake ni kubwa tena inawaumiza zaidi wazazi wetu hawa wasio na kipato cha uhakika. hata kuomba samahani kwa kuudanganya umati hakuna wapo kimyaa tuu. waziri wa elimu naye yupo kimyaa. mtoe majibu yetu mapema wengine tumeacha kwenda advance tunawasubiria nyie na muda hautusubiri, mwaka huu unaisha, mtoe majibu ili tukikosa tuangalie utaratibu mwingine. hatuna mpango wa kukaa mwaka mzima nyumbani. mtuhurumie.
Hyo ni mbaya zaidi mtaaply theory darwnism "survial of the fitest"ni bora wangetoa huo utaratibu wao ili mtu akitaka nafasi aende au atume maombi chuo husika
Ndio sababu ya nacte na tcu kuwepo,,ucjal majibu soon yatakuwapo machoni pakokumbe mkuu, sikujua
kwa aliyemaliza diploma ya clinical akienda degree inachukua miaka mingapi na ndo anakuwa medical doctor??kozi ya clinical medicine ni ngumu sana ,tofauti na mnavyofikiria ila ukikaza buti kila kitu ni rahisi na sasa hv kuna mtihani wa wizara ya afya kutoka mwaka 1 kwenda mwaka wa 2 ukifeli unarudi home.
kama mkija uku mkomae,mimi ni mwaka wa kwanza nategemea kuingia mwaka wa pili naomba mungu matokeo yaje mazuri.
KAMA KUNA SWALI LOLOTE UNAWEZA KUNIULIZA
diploma ni miaka 3 tu ukimaliza diploma unaenda kwanza kazini kwa muda wa miaka 2 then kama ukipenda kusoma medical doctor unaomba ruhusa ya kwenda kusoma.kwa aliyemaliza diploma ya clinical akienda degree inachukua miaka mingapi na ndo anakuwa medical doctor??
kaka hizo kozi zote ngumu asikudanye mtu kuwa ni rahisi,juhudi zako na maarifa ndio utazifanya ziwe rahisi.je famasi na maabara ipi angalau sio ngumu sana
nasoma BUMBULI CLINICAL OFFICERS TRAINING CENTER,chuo kipo tanga wilaya ya lushotoupo chuo gani?
usijali mkuu pamojasawa nashukuru sana Mkuu
na sasa ivi ukiangalia kwa mujibu wa profile ako ni nin?deadline tar 13 kwamujibu wa profile langu