NACTE wana mpango gani na sisi?

NACTE wana mpango gani na sisi?

pia umesahau wale waliomalza advance na kupata division three pia wao wanasubiri.... competition kubwa mno.
yaan basi ni uwezo sina
 
kumbe katoto hvyo duuh umesema umeacha kwenda advance means form four juz tu bas acha nkufate tu PM
 
Ada ya clinical medicine ni balaa.Wamilki wa vyuo wanalalamika gharama za uendeshaji wa kozi hii ni kubwa kutokana na taratibu za Nacte na wizara ya afya yaani gharama kama wanakomoa watu
 
Ada ya clinical medicine ni balaa.Wamilki wa vyuo wanalalamika gharama za uendeshaji wa kozi hii ni kubwa kutokana na taratibu za Nacte na wizara ya afya yaani gharama kama wanakomoa watu
hicho ndo kinafanya nalalamika watoe majibu mapema ili wazazi watafute karo, mzazi atatafuta vipi karo na hana uahakika kama umechaguliwa
 
si nimekugundua umetumwa na NACTE 😀😀😀😀
hapana wote tunasubir matokeo kama wewe tu ya nacte so tuwe tunafarijiana na kupeana updates
 
haka kweli katoto, akat mikitu uko ime risiti miàka mitatu bado akaenda advance na akarisiti tena..................... ha ha ha. ......... na bado alitumaga maombi miaka iyo akaachwa kwa kua vyeti vingi....teh teh teh....... na sasa anasubiri tena first round ilimuacha.......... usirudie tena kuxema form four leaver
 
Kindly note that
the system is
closed to finalize
second selection.
You are requested
to try again later,
Sorry for any
inconvenience
caused.
 
haka kweli katoto, akat mikitu uko ime risiti miàka mitatu bado akaenda advance na akarisiti tena..................... ha ha ha. ......... na bado alitumaga maombi miaka iyo akaachwa kwa kua vyeti vingi....teh teh teh....... na sasa anasubiri tena first round ilimuacha.......... usirudie tena kuxema form four leaver
nisirudie??? ni haki yangu kulalamika sikutuma maombi bure nimelipia alafu kama wewe ni mtu mzima kwenye hii thread umefuata nini acha thread za watoto tafuta za watu wazima kwani umelazimishwa kutoa comment. don't act like you know everthing unless your name is GOOGLE
 
Mbona hata mimi ni 4m 4 mwaka jana but nashukuru nilichaguliwa round iliyo pita chuo but THT usikate tamaa madogo tupo wengi acheni izo mambo
 
Back
Top Bottom